kichwanazi
Member
- Apr 11, 2013
- 89
- 9
asubuhi kwenye idm,speed ilikuwa hivi...
View attachment 118274
saa hizi jioni kwenye torrent,speed ipo hivi..
View attachment 118280
View attachment 118281
Yangu hii hapa bna, naona inasumbua kweli leo, kuna matatizo sehemu nini?
View attachment 118284
Hizo wanatumia ambao hawajaingia deep bna wale wazee wa ku-google, na kuchukua software au tutorial youtube, ila walioingia kwenye vitabu haina haja.... kwani mkuu VPN si tunnel tu ndugu, tunnel inategemea unachomokea wapi, hata hizo software ziliandikwa kwa code tu, windows nayo inakuja na built in support ambayo hata bila software unapiga mzigo, sema wengi hukimbilia software sababu Interface imerahisishwaLakini hamna Evidence kuonesha kama unatumia OpenVPN au VPN client yoyote
Hizo wanatumia ambao hawajaingia deep bna wale wazee wa ku-google, na kuchukua software au tutorial youtube, ila walioingia kwenye vitabu haina haja.... kwani mkuu VPN si tunnel tu ndugu, tunnel inategemea unachomokea wapi, hata hizo software ziliandikwa kwa code tu, windows nayo inakuja na built in support ambayo hata bila software unapiga mzigo, sema wengi hukimbilia software sababu Interface imerahisishwa
I want to know this please kama hautomind elezea njia unayotumia
Lkn upande wa Pili usiwaponde watumiaji software kuwa ni watu kuangalia Youtube,google maana hata njia unayoitumia usifikiri haiko Youtube au Google vinginevyo haujui maana ya Tutoriaal za youtube na Google na sijui utajiitaje msomi
All in all nilishotaka kujua au tunachotaka kujua nikuwa unatumia kitu gani au njia gani ya Tunnelling ndo maana nikasema hamna evidence kuonesha unatumia VPN/Tunneling softwares/Proxy servers
Note kua hakuna sehemu niliyosema mimi msomi... Point yangu ime-lie kua wengi huingia google na kuanza keywords za kuchakachua net au wengine kuongeza speed etc ni vizuri kama mtu hata kama ni ku google angeanza kusoma hivi vitu origin yake ni ipi, ni nini kinaongelewa mtu akisema tunneling, zipo aina ngapi zinakwenda vipi, kuliko kufika tu na kudownload software na kupachika namba namba na kulipa...
Sasa kwa kua tunaelewana ngoja nikwambie mimi nafanyeje, bila shaka unajua tunneling, sasa nachofanya ninafanya tunneling na server moja tu hata sio nyingi, sema hiyo moja ipo kwenye the fastest country in the world! we msakuaji najua utakua umenisoma, sasa sitaji nchi hapa maana kuna raia si unajua wazee wa kublock, kwa kua hiyo server sio shared kama ambazo wengi wenye Tunnel Guru au PD Proxy maana hizo ni unalipia unatumia, ile sio shared so inakua faster zaidi, najua hapo tumekwenda pamoja mkuu...
Modem natumia kubwa sana ndio na si hii inayokuja na kampuni za simu za bongo, hii ni 4G inakimbia 100MBPs sema imechakachuliwa na yenyewe maana ni ya mitandao ya nje sema inapitia frequency ileile sawa na mitandao ya huku tu so mzigo unaenda vzr ukitupia simcard.. Japo mkuu hata modem ya 7.2MBPs trust me unaweza ukaachieve hata 3MBPs, its 100% possible na ni kitu nishawahi kukiona nikiwa natumia mimi mwenyeweok nimekusoma... sasa sanjali na ILO inavyoonesha ISP wako au Modem yako ni 3G+ vinginevyo kama ni modem zetu hizi za 7.2Mbps huwezi fika hapo hata kwa dawa
Hivo unaweza Ongeza Addition kuwa unatumia Modem kama Huawei 3131 yenye 21.6Mbps au zile za 48.8Mbps au hata 100Mbps sasa which applies to your case
Modem natumia kubwa sana ndio na si hii inayokuja na kampuni za simu za bongo, hii ni 4G inakimbia 100MBPs sema imechakachuliwa na yenyewe maana ni ya mitandao ya nje sema inapitia frequency ileile sawa na mitandao ya huku tu so mzigo unaenda vzr ukitupia simcard.. Japo mkuu hata modem ya 7.2MBPs trust me unaweza ukaachieve hata 3MBPs, its 100% possible na ni kitu nishawahi kukiona nikiwa natumia mimi mwenyewe
How kwa lipi kuchakachua hizo modem za speed ya juu au kuachieve speed ya juu kwa 7.2MBPs modem??how? mkuu unatufumbua macho
How kwa lipi kuchakachua hizo modem za speed ya juu au kuachieve speed ya juu kwa 7.2MBPs modem??
Yangu hii hapa bna, naona inasumbua kweli leo, kuna matatizo sehemu nini?
View attachment 118284
Yangu hii hapa bna, naona inasumbua kweli leo, kuna matatizo sehemu nini?
View attachment 118284
msaada wako tafadhali?Modem natumia kubwa sana ndio na si hii inayokuja na kampuni za simu za bongo, hii ni 4G inakimbia 100MBPs sema imechakachuliwa na yenyewe maana ni ya mitandao ya nje sema inapitia frequency ileile sawa na mitandao ya huku tu so mzigo unaenda vzr ukitupia simcard.. Japo mkuu hata modem ya 7.2MBPs trust me unaweza ukaachieve hata 3MBPs, its 100% possible na ni kitu nishawahi kukiona nikiwa natumia mimi mwenyewe
Note kua hakuna sehemu niliyosema mimi msomi... Point yangu ime-lie kua wengi huingia google na kuanza keywords za kuchakachua net au wengine kuongeza speed etc ni vizuri kama mtu hata kama ni ku google angeanza kusoma hivi vitu origin yake ni ipi, ni nini kinaongelewa mtu akisema tunneling, zipo aina ngapi zinakwenda vipi, kuliko kufika tu na kudownload software na kupachika namba namba na kulipa...
Sasa kwa kua tunaelewana ngoja nikwambie mimi nafanyeje, bila shaka unajua tunneling, sasa nachofanya ninafanya tunneling na server moja tu hata sio nyingi, sema hiyo moja ipo kwenye the fastest country in the world! we msakuaji najua utakua umenisoma, sasa sitaji nchi hapa maana kuna raia si unajua wazee wa kublock, kwa kua hiyo server sio shared kama ambazo wengi wenye Tunnel Guru au PD Proxy maana hizo ni unalipia unatumia, ile sio shared so inakua faster zaidi, najua hapo tumekwenda pamoja mkuu...
Yangu hii hapa bna, naona inasumbua kweli leo, kuna matatizo sehemu nini?
View attachment 118284
Sababu hua inapiga hadi 9MBPs ikiwa kwenye fast servers ka YouTube, note hiyo video naiangusha from youtube...3MB/s halafu unasema inasumbua? Ha ha haaa!!! unafurahisha kweli wewe.
maISP wetu, mbona speed hizo wameziachia ni wewe tu jinsi ya kuipata... factors za speed ya net huanzia from as low as speed ya computer yenyewe, speed ya kuandika harddisk yako etc.. factors kibao, sasa ukiweka safi kuanzia chini ukimalizia huku juu utapata net moja safi sana ikichezea 2MBPs unaanza kuionna iko slow... Enzi hizo hata 400KBPs nilikua nikiachieve naenda kuhadithia kua duh leo inakimbia, ila siku hizi ikiwa hiyo nalia kabisaHii kitu ya mkonga, ma ISP wetu wa kibongo kwa speed hiyo?..................prove me wrong, I stand to be corrected
Sababu hua inapiga hadi 9MBPs ikiwa kwenye fast servers ka YouTube, note hiyo video naiangusha from youtube...
Na torrent seeders wakiwa safi hadi 5MBPs ndio hua kawaida