Speed ya internet ya Airtel ni hatari!!

Tigo nimeona wameorodhesha LTE band 20 kwa hiyo freq ni 800mhz ambayo smile nao wanatumia hiyo hiyo. na wanasema lazima uwe na sim card mpyya watakakazo zitoa ndio zina support 4g LTe.
asante sana mkuu Device yangu ina cover 800mhz na inasoma line ya Smile ila nimesoma page yao naona kupata hiyo SIM card lazima ufanye Pre-order
 

mkubwa unajua mpaka raha
 
acha ubishi
kwanini usiamini na ya wenzako
Airtel ni waongo haswaaaa
mm nimekaa tangu asubuhi hakuna mawasiliano yoyote ya Internet na wamenipa Mb-1024
hapa Dodoma ni Vodacom ina speed ya ajabu na haikati
kwa hiyo kubali unawa-Promot Airtel na sio mambo ya kishetani
ukitaka kutangaza kampuni la airtel kubali na kukosolewa USIPINGE kila kitu eti Aitel airtel AIRTEL
 

Sasa na wewe hapo tuseme unawapa promo Vodacom? Mimi mbona nina Airtel na sina matatizo yoyote? Huna mawasiliano yoyote peke yako? Mbona ipo poa sana...
 
Sasa na wewe hapo tuseme unawapa promo Vodacom? Mimi mbona nina Airtel na sina matatizo yoyote? Huna mawasiliano yoyote peke yako? Mbona ipo poa sana...
unaelewa kuwa Makampuni yote ya simu yanapewa access na Provider mmoja?
Basi ninyi mnakaa chini ya Minara au nguzo za Airtel ndio maana tunapishana
hebu jaribu kuhama hilo eneo na uende linalotawaliwa na tiGo
 
Airtel wanachosha sana!
Walikuwa wa kwanza Wilayani! Lkn wamekuwa wa mwisho ku-upgrade huduma zao huko mawilayani(mikoani) tofauti na tigo ambao mtandao wao ni wa 3G karibia wilaya zote nchini!
 
Voda kwangu home huwa inakimbiza hadi 1.400 MB/sec
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…