SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

Mkubwa kuna watu wana pressure kwenye hizi updates😎 angalia usije kusababisha vifo humu ndani.
 
Kiongozi wa Wahouth inasemekana ameuliwa na Israel muda huu

🚨🚨🚨⚡️ BREAKING:

Israeli media reports the assassination of Abdul-Malik al-Houthi, leader of Yemen’s Ansar Allah (Houthi) movement.
Kapigwa akiwa Iran au akiwa Yemen?
 
#Hamas' Al-Qassam Brigades announced that their fighters executed a complex ambush targeting Israeli troops and military vehicles at point-blank range along supply lines in the Al-Zana area, east of #KhanYounis.

According to the statement, two Israeli armored personnel carriers (APCs) were destroyed using Shawaz explosive devices and IEDs, with one soldier killed at point-blank range.

As Israeli rescue teams arrived at the scene, a minefield was detonated, inflicting additional casualties among the responders, the Al-Qassam Brigades' statement added.
 
Tupo hapa Al Jazeera English
Madhara yanaanza kuonekana soon.
Ona hiyo image hapo madhara yanaanza kuonekana Haifa.
Screenshot_20250614-234411.png
 
Al Jazeera Kuna baadhi ya images walichelewa kuzipata maana Al Jazeera wanaripoti kutoka Jordan hawaruhusiwi ndani ya Israel.
Wacha nicheki BBC na Fox au CBS news maana wao wako ndani ya Israel kabisa.
Nipo BBC News hapa live
 
Mkuu upo buza muda huu unajuaje kama missile za iran yanakua intercepted 😀,tuache ujuaji wabongo,israel mpaka sasa hawajajua wamepata athari kiasi mtu wa buza ushajua 😀
Kama unakaa sehemu umeme wa buku buku tuma namba ya luku tukuwekee wa 10,000 na wewe uone al jazeera wapo live kila kitu kinaonekana

Kilichokuwa kinatokea jana na leo ni vitu viwili tofauti
 
Duuuuh tit for tat.....
 

Attachments

  • 20250614_234705.jpg
    20250614_234705.jpg
    68.8 KB · Views: 18
Kama unakaa sehemu umeme wa buku buku tuma namba ya luku tukuwekee wa 10,000 na wewe uone al jazeera wapo live kila kitu kinaonekana

Kilichokuwa kinatokea jana na leo ni vitu viwili tofauti
Mzee tulia madhara yataonekana tu.
 
2 assassinations in Tehran and Yemen

!sraeli media are claiming
 
Back
Top Bottom