Special thread ya tweets

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
365,172
Reaction score
843,304
Tweeter ni mtandao unaotumiwa na viongozi mbalimbali duniani, wakiwemo wafanyabiashara, wanasiasa, na watu wa kaliba ya juu. Tweeter ni tofauti kabisa na Instagram (mtandao wa vijana) bado au Facebook
Mara nyingi tunapata habari za viongozi, mawazo na mitazamo yao au kwa matukio mbalimbali moja kwa moja toka kwao kupitia tweeter
Kwa muktadha huo naweka uzi huu tushirikishane tweets mbalimbali za viongozi wetu, wanasiasa nknk

Karibuni wote....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…