Uzi huu upo kwa lengo la kuwaunganisha wana Maabara wote. Karibuni.
- uliza chochote kuhusu fani hii
- Na wale mnaoingia mara hii katika fani hii karibuni pia.
Ni fani inayohusu Uchunguzi wa Afya ya Binaadamu kwa kufanya vipimo mbali mbali ili kuweza kuelewa ni tatizo gani mgonjwa linamsumbua au mtu kuweza kuelewa Afya yake.