Special Thread, COPA America 2015

I used to be a fanboy akiwa La Casa Blanca, alivyoondoka ndio nilijifunza kutokuwa emotionally tied with players.

Tena aliondoka bila drama kama za Ramos, alisema nataka life expreriance kwenye ligi nyingine. Msimu alioondoka ndio alikuja Cristiano, ndio hapo ujue soka bana sijui likoje. Kulikuwa na watu walichukia, mmeshindwa kumbakiza Robinho Cristiano wa nini.
 

aliondoka kipindi cha Ramon, Perez ndio alimleta Cristiano. Ramon alitaka kumtoa Robinho + hela, ndio Jamaa akachukia.
 
hata hivyo siyo mzee kihivyo. miaka 31 sawa na Robben. kamuacha CCR7 mwaka mmoja.

Hahaha Robben anaonekana kama ana 50 hivi. 31 babu katika soka, sema anajitunza, sijawahi kusikia akifanya mambo ya ajabu kama wengine.
 
​Khe Khe kheeeeeeeeeeee 2-0
 
Neymar anatabasamu tu, hivi Brazil wameshindwa kuappeal hukumu ya Neymar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…