For Colombia to stay in Copa America, the game between Brazil and Venezuela needs to end in a winner. If Brazil vs Venezuela ends in a draw, Colombia are out.
Hahahaha!!! Nimeshangaa uwepo wake humu leo nikasema labda amekuja na nyota ya Brazil,Haya naona umemsaidia mate kujibu......kwani mwanenu huku ni James tu? Au anampenda yeye zaidi ya wengine?
Hahahaha!!! Nimeshangaa uwepo wake humu leo nikasema labda amekuja na nyota ya Brazil,Haya naona umemsaidia mate kujibu......kwani mwanenu huku ni James tu? Au anampenda yeye zaidi ya wengine?
Mashindano kama haya mi kwangu ni nightmare tu, season haijaanza Bernabéu kuna majeruhi saba. Bora haya mashindano yaishe salama na wachezaji wangu tu.