Nashauri mkasome diploma za mionzi (diagnostic) na maabara
Hizi ni rahisi kupata michongo mjini hapa kuliko maCO ambao kwanza wapo wengi na kaka zao MD wapo wengi pia na wanafanya kasi hadi kwa laki sita saba
Ukiwa radiographer unaweza kuwa na vijiwe hata vitatu kote unakula pesa
Tusifuate mkumbo tu was kuitwa daktari,tuangalie wapi soko linatupeleka