honey bee
Senior Member
- Nov 23, 2021
- 139
- 231
Habari wana jamii forums,
Sidhani kama hata huu uzi utaachwa salama
Tatizo langu ni kuwa mbona nyuzi nyingi ninazotengeneza zinaishia kufutwa?
Najiuilza ni kwa nini! Kwa kuwa kuna nyuzi zinakuwa na mantiki na zinachangiwa hoja na wanajamii forums wabobevu ambao ukiona mawazo yao kwenye uzi wako unaona kabisa mada unayoiongelea kuwa ina mashiko kwa % kadhaa!!
Lakini mwisho wa siku ni kufutwa:
Mfano: uzi niliouliza kuhusu dawa za kuongeza ukubwa wa uume zinazotangazwa kwenye mitandao ya kijamii zinaleta matokeo chanya?
Uzi umeondolewa! ilhali nyuzi nyingi za siasa ambazo kidogo zina ukakasi zinaachwa!!
Kuna wakati niliwahi kiliongelea hili mwaka jana, nikakuta PM ya mtu X akiniambia fungua uzi wako ambao hukuwa na uwezo wa kuufungua! Nilipoufungua ukafunguka kweli, najiuliza management ya site hii iko mikononi mwa participants kama sisi?
Nyongeza: nilivyo request kubadilishiwa jina (username), sijaona mrejesho! Lakini uzi wangu ndani ya dk 10 ushawekwa kwenye dustbin
Mwenye kero nyingine awasilishe, ili waone ni vipi watatusaidia!
Ila sina uhakika kama huu uzi utadumu ndani ya dk 10
Sidhani kama hata huu uzi utaachwa salama
Tatizo langu ni kuwa mbona nyuzi nyingi ninazotengeneza zinaishia kufutwa?
Najiuilza ni kwa nini! Kwa kuwa kuna nyuzi zinakuwa na mantiki na zinachangiwa hoja na wanajamii forums wabobevu ambao ukiona mawazo yao kwenye uzi wako unaona kabisa mada unayoiongelea kuwa ina mashiko kwa % kadhaa!!
Lakini mwisho wa siku ni kufutwa:
Mfano: uzi niliouliza kuhusu dawa za kuongeza ukubwa wa uume zinazotangazwa kwenye mitandao ya kijamii zinaleta matokeo chanya?
Uzi umeondolewa! ilhali nyuzi nyingi za siasa ambazo kidogo zina ukakasi zinaachwa!!
Kuna wakati niliwahi kiliongelea hili mwaka jana, nikakuta PM ya mtu X akiniambia fungua uzi wako ambao hukuwa na uwezo wa kuufungua! Nilipoufungua ukafunguka kweli, najiuliza management ya site hii iko mikononi mwa participants kama sisi?
Nyongeza: nilivyo request kubadilishiwa jina (username), sijaona mrejesho! Lakini uzi wangu ndani ya dk 10 ushawekwa kwenye dustbin
Mwenye kero nyingine awasilishe, ili waone ni vipi watatusaidia!
Ila sina uhakika kama huu uzi utadumu ndani ya dk 10