wiz king treasure
Member
- Apr 25, 2015
- 52
- 2
Je?
Wanaotakiwa ku confirm ordinary diploma udom ni wale waliochaguliwa direct kutoka tamisemi pekee au huambatana na walio fanya application NECTA?
Nilifanya application online na baada ya Muda nikakuta umebaki choice moja ambayo ni University of dodoma ordinary diploma in secondary education biology and chemistry na upande wa status imeandikwa selected but nkiangalia kwa Wanaotakiwa ku confirm sioni Jina langu jamani ndugu zangu naombeni msaada.
Wanaotakiwa ku confirm ordinary diploma udom ni wale waliochaguliwa direct kutoka tamisemi pekee au huambatana na walio fanya application NECTA?
Nilifanya application online na baada ya Muda nikakuta umebaki choice moja ambayo ni University of dodoma ordinary diploma in secondary education biology and chemistry na upande wa status imeandikwa selected but nkiangalia kwa Wanaotakiwa ku confirm sioni Jina langu jamani ndugu zangu naombeni msaada.