Special message to Mama Janeth Magufuli

Kwa hiyo kama ndio akachomekea wazuri huwa hawafi, ni sawa na kumaanisha kitu gani kwa waliokufa?

Punguzeni haya mahaba yenu, mnazidi kumuharibu huyo mzee.
 
Ubaya kuna mambuzi yanadhani yanamtonesha machungu tu mjane kumbe ni vidonda vimejaa mioyo.ya watanzania

Kweli Kama uchungu tuliouopata CHADEMA baada ya kuuawa kwa Saanane. Machozi ya mjane wa Saanane yalileta matokeo mazuri.
 
Alikuwa
Watu wazuri huwa hawafi ndio sababu Kinana yupo na Jakaya yupo!"
Mwenye hii clip tafadhali

Niwe mkweli simpendi mzee makamba lakini Jana alikuwa ana muongelea mama. Huyo Magufuli ni tafsiri tu imetokea kwa hofu na aibu.
 

Mbona mama kaeleza vizuri kuwa hakuwa na nia mbaya alikuwa anajaribu kusahihisha aliposema Mama asipoweza asifike mwaka 2015 Mungu ataleta mwingine mzuri, ndipo akachomekea wazuri huwa hawafi.
 
The truth is, Samia ameomba radhi kwa kauli aliyoitoa Mzee Makamba kwasababu alijua Makamba alikosea, hapa msijaribu kumtetea Mzee Makamba.
We jamaa una matatizo kishenzi...

Umeangalia posts zangu zingine au unaropoka tu?
Kwa kinywa chake, hakutakiwa kutoa kauli ile ya "watu wazuri hawafi" kwenye mazingira tuliyopo, mbele ya Mama Janeth Magufuli, na Mama Mkapa, msikwepeshe huu ukweli kwa kujaribu kulipaka kosa mafuta, mwambieni ukweli huyo mzee abadilike.
Ujinga mtupu
 
Hii kauli no tata sana, isine kuwa wanataka kumuondoa bi mkubwa ili akina Jr wapete nafasi ya kusimama 2025
 
Huyo ni miongoni mwa hio timu Wana roho mbaya sana.
 
Kwa hiyo kama ndio akachomekea wazuri huwa hawafi, ni sawa na kumaanisha kitu gani kwa waliokufa?

Punguzeni haya mahaba yenu, mnazidi kumuharibu huyo mzee.

Please Mimi Sina mahaba na huyo mzee tangu alipokuwa katibu mkuu CCM na Mimi CHADEMA. Tangu kipindi hicho siivi na mzee makamba. Ila kwenye ukweli tuseme. Mzee makamba hakumuongelea Magufuli per se, issu ya Magufuli imekuja na kujishtukia.

Ni sawa mtu ana VVU halafu atokee Rafiki yake aseme tujihadhari na ukimwi ndugu zangu. Yule mwathirika atajishtukia kwamba anasemwa yeye.
 
Uharo. Hivi hujui bila mJPM kusimama 2015 upinzani walikuwa wanachukua nchi
 
We jamaa una matatizo kishenzi...

Umeangalia posts zangu zingine au unaropoka tu?

Ujinga mtupu
Hizo post zako nyingine nimeziangalia ndio nikaona hazina maana kabisa.

Nimekuona unavyomshambulia MTAZAMO kwa sababu hapo awali alikuwa anampenda sana Dr. Slaa zaidi ya Chadema, kama vile kwasababu hiyo hakutakiwa kutoa maoni yake kuhusu kauli aliyoitoa Mzee Makamba jana, na ukabahatika kuwapata wajinga walio ku-support.

Punguzeni mahaba yenu yasiyo na maana, ukweli lazima usemwe, wala msije na visingizio vyovyote vya kipuuzi, hili sio jukwaa la kundi la wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…