Aaaaaaaaa my king my king my king nikaushie love TehtehYes super dear... mahondaw wangu...
Inasikitisha sana...
Ila am glad mahondaw wangu kwenye kazi za nyumbani upo vizuri sana... Huambiwi wala huelekezwi... Iwe kwa gas, mkaa, umeme au kuni... Iwe kwa sufuria, pressure au rice cooker... Iwe kwa fagio, mop, dekio la kuinama au vacuum cleaner...
Am glad to have you super dear..
asante kwa darasa zuri.SPECIAL KWA WADADA
Umepata Bwana, Umempenda Kweli kweli na Umemlalamikia Sana Eti Kwanini Hakupeleki Kwa Wazazi Wake Kukutambulisha, Jamaa Akagoma Sana mwishowe akaona isiwe Kesi Akakupeleka
Wewe badala hata utake hiyo advantage umefika tu Siku ya Kwanza Umeshinda Unachati, Siku ya Pili Umeshinda Unachati Tena ndio unajisifia kwenye groups upo ukweni Kumbe Wao Wanakutazama Tu na kukupimia Wala Hawakwambii Kitu
Siku ya Tatu Wanakwambia Leo Ni Zamu Yako Kupika, Unaingia Jikoni unaona Kila Kitu Kigeni
Vya Huku Unaweka Kule, Vya kule Unaweka Huku (Yaani Hujui Kupika Chochote)
Sufuria Unashika Kama Umeshika Power Bank, Unapika Na Lipstick, Mdomo Mwekunduuu Utafikiri Mtoto wa Jini Katoka Kufundishwa Kunyonya Damu tena huku Umevaa Saa, Umevaa Culture Zimejaa Nusu Ya Mkono, Umevaa Mini Skirt Kama Wafanyakazi Wa Emirates
Msosi wa Wakwe Huwezi Kupika. Ukiambiwa Hufai Kuolewa Unavuta Mdomo Utafikiri Umenyimwa USB Cable Ubust Smartphone Yako
Unaanza Kulalamika Wakwe Hawakupendi, Unalalamika Weee, Unashindwa Kuelewa Kuwa Wewe Ndo Tatizo.
Usitake Kuolewa Ukidhani Mumeo Atakula Chips na Wewe Utakuwa Utakula Pizza Kila Siku, Jifunze Hata Kuchemsha Chai BasiAu Unadhani Google Wataleta App Ambayo Unaweka USB Kwenye Simu Yako Alafu Unaielekezea Kwenye Sahani Inaproduce Msosi
[HASHTAG]#JIPANGE[/HASHTAG] DADA Usidhani Ndoa Ni Kama Kupiga selfie
Miss hauna heshima unataka kupindua mama mkwe?kuna mtu hajui kupika miaka hii? mimi nikipewa interview ya kupika nadhani nitampindua hadi mama mkwe
Unaongea km chiziKwanza kuna code of conduct inayoswma usipike ukiwa umepaka lipstick? Mpaka kupeana interview za kupiga ukweni hii ni ndoa au nafasi ya ajira?
kuna mtu hajui kupika miaka hii? mimi nikipewa interview ya kupika nadhani nitampindua hadi mama mkwe
Unaongea km chizi
Navojua hapa online kila binti/mwanamke atakuja na tabia nzuri kama hii yako, tatizo linakuja wakiwa ofline wanavocharuka kama sio wao vile!Hao ni wale watoto wasiojua heshima anayotakiwa kuwa nayo mtu akiwa ukweni.
Hivyo wala usiwalaumu wakijua kinatakiwa nini watabadilika.
Na pia muwe mnafanya machaguo sahihi mana hiyo ni aibu sasa.
Hujaangalia comment za nyuma mbona kila mmoja kaja na kile anachoona kwake kina faa.Navojua hapa online kila binti/mwanamke atakuja na tabia nzuri kama hii yako, tatizo linakuja wakiwa ofline wanavocharuka kama sio wao vile!
Hahaha unasikia majibu yaoKwanza kuna code of conduct inayoswma usipike ukiwa umepaka lipstick? Mpaka kupeana interview za kupiga ukweni hii ni ndoa au nafasi ya ajira?
Halafu wewe.kuna mtu hajui kupika miaka hii? mimi nikipewa interview ya kupika nadhani nitampindua hadi mama mkwe
Real! Let me take a time to review.Hujaangalia comment za nyuma mbona kila mmoja kaja na kile anachoona kwake kina faa.
Sawa tutajirekebisha ili tupate hizo ndoa,SPECIAL KWA WADADA
Umepata Bwana, Umempenda Kweli kweli na Umemlalamikia Sana Eti Kwanini Hakupeleki Kwa Wazazi Wake Kukutambulisha, Jamaa Akagoma Sana mwishowe akaona isiwe Kesi Akakupeleka
Wewe badala hata utake hiyo advantage umefika tu Siku ya Kwanza Umeshinda Unachati, Siku ya Pili Umeshinda Unachati Tena ndio unajisifia kwenye groups upo ukweni Kumbe Wao Wanakutazama Tu na kukupimia Wala Hawakwambii Kitu
Siku ya Tatu Wanakwambia Leo Ni Zamu Yako Kupika, Unaingia Jikoni unaona Kila Kitu Kigeni
Vya Huku Unaweka Kule, Vya kule Unaweka Huku (Yaani Hujui Kupika Chochote)
Sufuria Unashika Kama Umeshika Power Bank, Unapika Na Lipstick, Mdomo Mwekunduuu Utafikiri Mtoto wa Jini Katoka Kufundishwa Kunyonya Damu tena huku Umevaa Saa, Umevaa Culture Zimejaa Nusu Ya Mkono, Umevaa Mini Skirt Kama Wafanyakazi Wa Emirates
Msosi wa Wakwe Huwezi Kupika. Ukiambiwa Hufai Kuolewa Unavuta Mdomo Utafikiri Umenyimwa USB Cable Ubust Smartphone Yako
Unaanza Kulalamika Wakwe Hawakupendi, Unalalamika Weee, Unashindwa Kuelewa Kuwa Wewe Ndo Tatizo.
Usitake Kuolewa Ukidhani Mumeo Atakula Chips na Wewe Utakuwa Utakula Pizza Kila Siku, Jifunze Hata Kuchemsha Chai BasiAu Unadhani Google Wataleta App Ambayo Unaweka USB Kwenye Simu Yako Alafu Unaielekezea Kwenye Sahani Inaproduce Msosi
[HASHTAG]#JIPANGE[/HASHTAG] DADA Usidhani Ndoa Ni Kama Kupiga selfie
We jamaa kila post upoWe jamaa
Kigezo siku hizi ni tako tu, hayo mengine ni mbwembwe tu.Mkuu hawa wadada huwa hawajui kuwa linapokuja suala zima la kuoa, uzuri sio kigezo pekee, huwa tunaangalia vitu vingi sana.
Mwisho wa siku anajishangaa na uzuri wake lakini haolewi, wale anao wadharau wasio mfikia kwa urembo ndo wanao olewa.
Hicho ni kigezo kwa michepuko na sio kwa mke.Kigezo siku hizi ni tako tu, hayo mengine ni mbwembwe tu.