special dedication kwa sweetlady na nitonye


Kama uzee unakujia vibaya hivi mbona mie siutaki.....
 
nimepitwajeeeee! mama kadogoo nini mbaya?? kwema hapa lakini??

Mie pia nakushangaa umepitwaje lol

Hapa hakuna mbaya cacico ni kwema sana tu hivyo wala usijali!

Siku hizi umeanza kufuata nyayo zangu manake nawe unajitahidi kweli kupotea!
 
Last edited by a moderator:
sweetlady,hivi hujui bishanga na pou ni baba mmoja mama mmoja tumbo mbali mbali?


Uringe lol.....afu usituletee tabia za kihaya hapa.....hakunaga undugu kwenye kazi.....mwenzio Paw yuko kazini so ukileta za kuleta lazima ban ikuhusu!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…