Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
harusi mliyofanya,
ni kiapo kikubwa mbele ya Mungu,
mkiheshimu mpaka siku ya hukumu.
kwa hiyo,
kaeni kwa amani nawausia,
mpaka kifo kiwatenganishe.
mzaapo watoto,
muwatunze vyema,
ni sifa kubwa.
kumbukeni wazazi,
wa pande zote,
wapatapo shida yoyote ile,
wasaidieni.
jaribuni kuwaepuka,
marafiki wabaya,
watakuja haribu ndoa yenu,
hasa Vin Diesel.
(source: patrick balisidya-RIP).
Vin Diesel, njoo uone wazabinazabina wanavyoota ndoto mchana.
sweetlady, ukimaliza kumlisha mumeo lunch unipigie tuongee umbea kiduchu. Nami ntakuwa nishamaliza kumbembeleza Paw wangu.
Vin Diesel who?Heheheheh na nitts aliumbwa kuwa na SL period........akija Vin Diesel hapa utamfafanulia vizuri aelewe!
nitonye kaniaga jana anakwenda Pemba.....well welll nakuonea huruma in advance!
nimepitwajeeeee! mama kadogoo nini mbaya?? kwema hapa lakini??