Yah.... my dear
JEKI ndio sababu nimeweka namba za simu kama mtu yuko serious atanipigia tu au kunisms. Anyway namba ni B, iko kwenye hali nzuri na inatembea na haina shida yoyote,mind you ni gari ya mwanamke so hata utunzaji wake ni mzuri, haijawahi kupata ajali yoyote, imetembea km 64,000 hadi sasa.basi weka details zaidi kuonesha upo serious, ya mwaka gani, imetembea km kiasi gani, ipo katika hali gani na mengine mengi, ulivyoweka ni ngumu mtu kuamua. Na ikibidi weka picha yake, plate number ni A, B, C au D?
ram inabidi uweke kila kitu ili watu washawishike, kama ndo ile ipo bomba sana, bei mbona ndogo sana sasa, halafu km 64,000 inaelekea uliichukua new brand kabisa.JEKI ndio sababu nimeweka namba za simu kama mtu yuko serious atanipigia tu au kunisms. Anyway namba ni B, iko kwenye hali nzuri na inatembea na haina shida yoyote,mind you ni gari ya mwanamke so hata utunzaji wake ni mzuri, haijawahi kupata ajali yoyote, imetembea km 64,000 hadi sasa.
Kazi kwako kutafuta mteja halafu wewe si unaifahamu hii gari, ndio ile ile gari yangu unayoifahamu
JEKI, kila kitu kama nini vile kwa mfano, gari ni ya mwaka 2000, ilikuja na km 39000, mimi nimeiendesha hadi kufika hizo km 64,000. Nitafutie mteja tu banaram inabidi uweke kila kitu ili watu washawishike, kama ndo ile ipo bomba sana, bei mbona ndogo sana sasa, halafu km 64,000 inaelekea uliichukua new brand kabisa.