South Africa vs Spain June 28 '09

hivi ni maskio yangu tu au ni kweli yule booth (mzungu) wa south africa kila akigusa mpira nasikia kama wanamzomea au ni mimi tu.goaaal
 
Tusubiri dakika 30 za nyongeza,RSA wamecheza vizuri sana leo,wanastahili pongezi
 
Back
Top Bottom