Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
hivi ni maskio yangu tu au ni kweli yule booth (mzungu) wa south africa kila akigusa mpira nasikia kama wanamzomea au ni mimi tu.goaaal
Raha sanaTusubiri dakika 30 za nyongeza,RSA wamecheza vizuri sana leo,wanastahili pongezi
Jamaa ni mzuri sana yaani,anadakia Kaizer Chiefshivi yule kipa wa south africa anadakia timu gani? manake jamaa noma na kama anachezwa timu ya south afric nina huakika atakula maisha europe summer hii.
Dah,mbuzi tayari kala mbwa,Spain 3 RSA 2Dk 15 za kwanza zimeisha,still 2-2