sofia ni jamvi la vigogo, alikuwa tarishi na baadaye kujiendeleza kwa kupata degree ya chupi ukubwani! hajui mahakama ina fananaje wala hawezi kuandaa mkataba hata wa kuuza panzi!
amshukuru sana KK, ndo alomuweka mgongoni na kumfikisha hapo!
Mtamaliza kila neno kwani asiewajua Chadema kwa vidomodomo na kuchonga kwa sanaaaa bila matendo.
Sema mtavyo sema lakini Yeye ana wasubiri mahakamani na sio kwenye vyombo vya habari kama alivyofanya mnyika na Chadema.
Sisi sote tunasubiri mumjue kuwa Sofi si mchezo hususan katika nyanja ya sheria. Na mtajua alipractice wapi kudadeki.
Nendeni makamakani kama imewauma basi tufaidi uondoooo.