Sony viao na Hp Laptops original zinauzwa

Sony viao na Hp Laptops original zinauzwa

M2 Makini

Member
Joined
Dec 19, 2014
Posts
93
Reaction score
33
Habari,
Nina Laptops mbili moja ya hp na Sony viao naziuza Sony inatatizo la cd rum na housing yke imechakaa na charge inakaa kwa dkk 20 tu,hp haina adapter na kuna keys hazifanyi kazi zote ni original sina hela ya kuzifanyia repairs mwenye uhitaji tuwasiliane bei maelewano,nipo tabata ,
magengeni
HP ram 4gb
Core i3
HDD 320 gb
Sony ram 2gb
Core i2
HDD 320gb
 
Ungeweka bei,picha na sehem ulipo tangazo lingekua limekamilika
 
Habari,
Nina Laptops mbili moja ya hp na Sony viao naziuza Sony inatatizo la cd rum na housing yke imechakaa na charge inakaa kwa dkk 20 tu,hp haina adapter na kuna keys hazifanyi kazi zote ni original sina hela ya kuzifanyia repairs mwenye uhitaji tuwasiliane bei maelewano

Bado wageni kwenye kutangaza biashara,

Umeacha
Bei,
Picha,
Eneo ulipo,
Contact zako

Fanya ivyo then utagusa nia za wahitaji
 
Najaribu kufanya attachment zinakataa kwa ambae yupo interested anicheck Pm
 
Last edited:
Back
Top Bottom