s5, z2 na lg g3 zote ni flagship za 2014, zote zinatumia soc moja ya snapdragon 801 hivyo ina maana
-zina cpu sawa
-gpu sawa
-wifi sawa
-aina za ram sawa
-modem sawa etc
zinatofautiana mambo madogo madogo kama camera, ukaaji chaji, uzuri wa kioo na maumbo ya nje