Songea majanga tu!!!

Songea majanga tu!!!

BACHELA

Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
26
Reaction score
1
Songea siku ya pili leo wanafunga maduka kugoma mashine za tra, wananchi wataabika kupata mahitaji muhimu. Tanzania tuhurumieni wafanya biashara wadogo
 
Songea siku ya pili leo wanafunga maduka kugoma mashine za tra, wananchi wataabika kupata mahitaji muhimu. Tanzania tuhurumieni wafanya biashara wadogo

Nyie si mnajifanya CCM sana? Haya pokeeni zawadi ya chama chenu hicho.
 
imbeni kwaya tuu huku wenzenu wakipewa viwanda kupunguza usugu wa ajira. hivi ndivyo mnavyo niuzi mahomeboy wangu! wekeni hata tawi la chama chochote cha upinzani basi .
 
Wamesema hadi keshokutwa wanaenda nyumbani kwa mkuu wa tra na sio ofisini kwake.
 
imbeni kwaya tuu huku wenzenu wakipewa viwanda kupunguza usugu wa ajira.wekeni hata tawi la chama chochote cha upinzani basi .
home boy mbona tz nzima wanagomea hizo efd?
Siasa inaingiaje hapa sasa?
 
Songea maeneo gani upo wewe? Huduma mbona zipo kama kawaida BACHELA
 
Last edited by a moderator:
hayo ndo malipo ya t shirt kofia na ubwabwa na bado
 
Back
Top Bottom