Somo kwa Vyama Pinzani

Kapugi

New Member
Joined
Dec 12, 2018
Posts
4
Reaction score
2
Nadhani kuna haja ya vyama pinzani kujifunza sana kutokaa kwa chama tawalaa ili wawe na mafanikio makubwa mbeleni.

Mfano, nimekutana na wamama wa hali ya chini kabisa wanakimbia wakiwahi mkutano wa chama huku wameshika bendera, nadhani achilia mbali msukumo wanaoupataa kutokaa kwa viongoz wao.

Nadhani wana mapenzi na chama chao. Nadhani ni bora kuachana na watu hawa wanao tumia smartphone, halafu wanatudanganyaa ni wanachama kindakindaki, matokeo yakee ikifikaa wakati wa mikutano ya chamaa hawaendi kusikilizaa viongozi wao, wanakaa masebuleni kwao nakuanzaa kuangalia picha za mkutano mtandaoni.

Hiyo huwa inaendaa mpaka kipindi cha uchaguzi. Nadhani ni boraa kuanzia kwenye shinaa. Tujenge mifumo ya kuwafikia watu wa hali ya chini kabisaa, na hii inawezekana kwa viongozi kuanzaa kutengenezaa mtandao mrefu na unaoaminika kwa watu mpaka kwa mabalozi wa nyumba kumi.
 
Huko chama Tawala kuna wanachama au watu wanao fisidi nchi? Hakuna Mwanachama wa maana ukitoa wale masikini choka mbaya wanao hongwa sujar, chumvi wakati wa uchaguzi.
 
wakati CDM wanafikia upeo miaka ya DR Slaa waliwafikia watu wa chini kabisa Magufuli akaja kuwanyanganya na sasa Makonde anapita humohumo wao chadema wamejikita kwenye white colars mno hapo wanapaswa warudi kwenye misingi ya nguvu ya umma.
 
Huko chama Tawala kuna wanachama au watu wanao fisidi nchi? Hakuna Mwanachama wa maana ukitoa wale masikini choka mbaya wanao hongwa sujar, chumvi wakati wa uchaguzi.
Lakin hao ndio wapiga kuraa,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…