Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,380
Wakuu habarini!!!!!!!
Hivi inakuwaje unakuta simu ina RAM eg. 4GB af unakuta 3GB zinatumika na System af ww unabaki 750MB kwa ajili ya user applications
Naona nafuu turudi enzi za utumwa za RAM 256Mb
My thoughts ni kwamba at least katika 4GB RAM, @ 3Gb ziwe za user App na @ GB iwe ya OS na upuuzi wake.
Hivi inakuwaje unakuta simu ina RAM eg. 4GB af unakuta 3GB zinatumika na System af ww unabaki 750MB kwa ajili ya user applications
Naona nafuu turudi enzi za utumwa za RAM 256Mb
My thoughts ni kwamba at least katika 4GB RAM, @ 3Gb ziwe za user App na @ GB iwe ya OS na upuuzi wake.