Tuambiane zinaweza kutumika kawaida au ni mafundi simu tu maana mtu anaweza kujidai shababi kama masai aliyeona fundi simu anasafisha cm.na maji maalumu pamoja na mswaki akaenda kujaribisha yake kwa madai amegundua utapeli wa fundi kumbe dawa ni kupigisha cm. Mswaki cm. Ikafa so tuambizane zinatumika wakati gani wandugu