Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 627
- 1,288
Mmmh swagger zipi πππAcha ujinga hio ni live chart nilishamtongoza nyuma hapo ni funny thing then huezi kua na swaga kuliko nilizonazo jomba
Mmmh swagger zipi πππAcha ujinga hio ni live chart nilishamtongoza nyuma hapo ni funny thing then huezi kua na swaga kuliko nilizonazo jomba
πππBhana sis π
Nov kumbe wote tuta celebrate 5yrs za kuwepo jf π€£π€£π€£π₯
Na kwa akili hizi I wonder wameariliwa wapiHapo wa kuonewa huruma ni muajiri wao.
ππππ kumekuuchaaaTafuta hela usilete mapumbu yako .
Kiswahili kigumu sanaππππMimi si Mwalimu.
Atakuja jamaa kukuambia anza kwa kutumia herufi kubwa unaandika Kiswahili. Hahahaha.
Atamalizia kwa kukuambia hujui matumizi ya alama za uandishi? Kwa nini hujaweka nukta mwishoni mwa sentensi yako?
Hana peda anaona atamsumbua tuuuuKwani demu kakukataa kwa kigezo kipi? Tuanzie hapo kwanza
RubbishWadau huyu manzi nafanyanae kazi ofisi moja kama kawaida nikamuanzishia mission target yangu niwenae ni settle ikiwezekana kuoa hapo baadae.
Nimemfanyia attempt kama mara mbili ajaeleweka kwasababu tumekua na ukaribu I like simplest things nikaanzisha haka ka live chart wote tukiwa tumekaa sehemu moja ofisini, hii ni account yangu ya WhatsApp naandika yeye anajibu, kwamajibu haya wazee toeni maoni basi
Kwavyote nilivyoandika nilikua namaanisha hapo.
View attachment 2780004
View attachment 2780005
huyo ni business woman mbona yuko very clear - Tafuta Pesa, Full stop.Wadau huyu manzi nafanyanae kazi ofisi moja kama kawaida nikamuanzishia mission target yangu niwenae ni settle ikiwezekana kuoa hapo baadae.
Nimemfanyia attempt kama mara mbili ajaeleweka kwasababu tumekua na ukaribu I like simplest things nikaanzisha haka ka live chart wote tukiwa tumekaa sehemu moja ofisini, hii ni account yangu ya WhatsApp naandika yeye anajibu, kwamajibu haya wazee toeni maoni basi
Kwavyote nilivyoandika nilikua namaanisha hapo.
View attachment 2780004
View attachment 2780005
To Childish,sijui Walimu wa siku hizi huwa wanawafundisha nini huko mashuleni?Wadau huyu manzi nafanyanae kazi ofisi moja kama kawaida nikamuanzishia mission target yangu niwenae ni settle ikiwezekana kuoa hapo baadae.
Nimemfanyia attempt kama mara mbili ajaeleweka kwasababu tumekua na ukaribu I like simplest things nikaanzisha haka ka live chart wote tukiwa tumekaa sehemu moja ofisini, hii ni account yangu ya WhatsApp naandika yeye anajibu, kwamajibu haya wazee toeni maoni basi
Kwavyote nilivyoandika nilikua namaanisha hapo.
View attachment 2780004
View attachment 2780005
Gold digaaaWadau huyu manzi nafanyanae kazi ofisi moja kama kawaida nikamuanzishia mission target yangu niwenae ni settle ikiwezekana kuoa hapo baadae.
Nimemfanyia attempt kama mara mbili ajaeleweka kwasababu tumekua na ukaribu I like simplest things nikaanzisha haka ka live chart wote tukiwa tumekaa sehemu moja ofisini, hii ni account yangu ya WhatsApp naandika yeye anajibu, kwamajibu haya wazee toeni maoni basi
Kwavyote nilivyoandika nilikua namaanisha hapo.
View attachment 2780004
View attachment 2780005
Nakadiria umri wako 20-24 haujavuka huu umri nina uhakika.Wadau huyu manzi nafanyanae kazi ofisi moja kama kawaida nikamuanzishia mission target yangu niwenae ni settle ikiwezekana kuoa hapo baadae.
Nimemfanyia attempt kama mara mbili ajaeleweka kwasababu tumekua na ukaribu I like simplest things nikaanzisha haka ka live chart wote tukiwa tumekaa sehemu moja ofisini, hii ni account yangu ya WhatsApp naandika yeye anajibu, kwamajibu haya wazee toeni maoni basi
Kwavyote nilivyoandika nilikua namaanisha hapo.
View attachment 2780004
View attachment 2780005
Vijana wa siku hizi hawajui kutongoza.Unafanya naye kazi halafu unatumia simu kumtongoza?Unamuogopa?Hujui Unampa uwanja mpana wa kukujibu anavyotaka?Mbane uso kwa macho kijana.Unafeli wapi?
Nitafute hela
Jamaa alikuwa anajichatisha yeye na vidole vyake kwa kutumia option ya fake chatting πAlielewa tafadhari mi naona waliokuwa wanachati kama vile wanamatatizo ya afya ya akili...
Walevi wanawasingiziaAlielewa tafadhari mi naona waliokuwa wanachati kama vile wanamatatizo ya afya ya akili...