Soma hapa tafadhali

Soma hapa tafadhali

Keep it up Dr. one day the true independence for Tanganyika will come
 
Dr Slaa ni zaidi ya mwanasiasa.
Mtu mwenye nia ya kuwasaidia wengine ili waweze kupata maisha bora na yenye unafuu.
Adha anazopata katika kampeni za kuelimisha ni nyingi na zinampa maisha magumu, lakini hiyo haimvunji moyo.
Asiye weza kuona mchango wa Dr Slaa yuko sahiihi kufanya hivyo kama moyo wake na akili yake inamtuma hivyo, ila angefanya vizuri zaidi iwapo angetupendekezea mtu mwingine ambaye yeye anaona mchango wake utaweza kuleta mabadiliko makubwa katika kuboresha maisha ya watanzania walio wengi ambao kwa namna moja au ingine wanaathiriwa na mfumo wa utawala uliopo sasa madarakani. Au kama wanaweza watuthibitishie kwamba maisha waliyonayo watanzania ni bora na hatuhitaji mabadiliko na hatuhitaji kumlaumu yeyote kwa lolote.
 
Tafuna mifupa kama meno bado ipo.Alikuwa kwenye ile bendi yake nini?

Enzi za mwalimu viongozi walikuwa na clubs zao, uchafu wao haukuwa hadharani namna hii.....na hiyo iliwalindia heshima zao..wanajeshi walikuwa na mabwalo yao...police na mesi zao....mawaziri walikuwa na clubs zao....nakadhalika. Siku izi unakuta waziri tena mwenye dhamana kubwa tu serikalini, yuko Rose Garden na vicheche vimemzunguka, tena bila aibu, very openly! inasikitisha sana, maadili ya wazee wetu yameporomoka sana!
 
...asante mkuu naona kitufe cha thanks leo kimepumzishwa ningekibofya kwa ajili yako
 
Binafsi ninashusha heshima ya uprofes wake naona kama feki hivi. Kuchukua wake za watu? Muulize Manyambo wa Kahama alididisha jumla. Acha uchafu huo utakufa kabla ya siku zako profesa feki wewe. halafu unachukua watoto wadogo. Huyu si ndo alikuwa waziri wa elimu? Jamani naomba alaaniwe kabisa na maisha yake yawe mabaya mpaka kufa kwake.
 
Nilipata habari za kampeni za Kapuya za uchaguzi uliopita ilikuwa ni ufisadi na mauaji kwa kwenda mbele kutisha wananchi na polisi na watu wa kukodiwa. Hakuchaguliwa lakini alishinda!
 
Mi mara yangu ya kwanza kumjua huyu bwana kuwa tabia yake ni kama ya mkulu!

Nimemuuliza rafiki yangu aliyefanya kazi na Kapuya pale UD, inaonekana mtu huyu ni tabia yake tangu zamani za kale. Na tena alishafanya machafu kuliko hayo muyaonayo ktk magazeti na hayakulipotiwa.

Uzembe ni pale alipopewa Uwaziri, sijui ni kidgezo gani kilitumika kiumbe huyu kuwa Waziri kwa miaka yote hiyo.
 
Thanks kwa taarifa mkuu! Binafsi nakerwa sana na ubabe wa Kapuya na mwanae Baraka anayejiita "full boss". Mimi ni mkazi wa Kaliua na nimeushuhudia ubabe ma kinyama unaofanywa na watu hawa waliojimilikisha Kaliua as if ni ya baba yao.

Nakumbuka kipindi cha kampeni watu waliouliza maswali ya kumbana Kapuya kwenye mikutano yake walipata kipigo on the sport kutoka kwa mabaunsa walioongozwa na so called Baraka kapuya.

NOTE KW CDM: Kiukweli watu wa Kaliua tumechoshwa na hii hali na tulifikiri CUF wak
uwa wakombozi wetu; but due to on going situation between CCM and CUF tumepoteza matumaini. So ujio wa CDM Kaliua umefufua matumaini ya wengi. Tunawaomba mjipenyeze zaidi hasa maeneo ya Kamsekwa, Igagala hadi Usinge ili kujiimarisha zaidi before election ili finally ukombozi wa kweli upatikane.

THANKS GOD KWA KUILETA CDM KALIUA, THANKS GOD FOR Dr SLAA (Phd) AND HIS TEAM!!!

Huo ubabe hasa ni tabia ya watoto almost wote wa viongozi wa Tanzania ambao ndiyo hasa wanaoiendesha UVi-CCM; na mfano hai ni yule mtoto aliye mgonga trafic pale alipokataa kufuata sheria ya barabarani. Its a habit iliyoota mizizi Tanzania mtoto wa mwenyekiti wa kijiji na mtendaji wana assume nafasi za wazazi wao pale kijijini na hawa viongozi at a grass root level wanapata masomo toka kwa maboss wao ambao ni viongozi wa wilaya; wa wilaya kwa wa mkoa na wa mkoa kwa wataifa.

Ebu fikiria nchi hii yenye watu na akili zao timamu inaruhusu mtoto na mke wa Rais wakati wa kampeni kuzunguka nchi nzima na huku mfumo uliopo huwezi kutofautisha serikali na chama that means hakuna jinsi mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya utawaondoa katika mipango ya chama tawala ku strategize kushinda uchaguzi na hawa by default ndiyo maboss wa wakurugenzi; je hapo hao wawili mtoto na mke wakigeuza hiyo power ku demand personal things itakuwa ajabu? Dr. Slaa go go the son the true son of Tanzania huu upuuzi lazima ufikie mwisho. Kila mwenye kuthamini utu wa mwanadamu lazima akubali ufisadi wa mali na power lazima ziwe uprooted hapa Tanzania ili watu wajifunze kuishi kwa kufanya kazi na kula jasho lao na si kunyonya wengine.

Watoto wa baba wa taifa letu ni mfano mzuri sijawahi kuwasikia enzi za uongozi wa baba yao eti wana dictate terms. Hata pale walipotofautiana na baba yao wengine kuwa upinzani bado walichukuliwa kama raia na hicho chama hakikupata favour ya baba eti kwasababu anasikilizwa na watanzania; then we learnt tofauti ya baba na mtoto na nguvu zao katika siasa.
 
Sasa wana jamvi hapa tunaongeeaaaa tuuu na kutoa maneno mengii ,inabidi tutafute solution ili kuwaokoa wanakijiji wale? au mnataka kusema kuwa hatuwezi kuja na direct au indirect solution ya hili tatizo na huu uonevu? nina uhakika wananchi wa hiyo sehemu wanekuwa wamesoma wote na wako updated huu unyama na ukoloni usingekuwa unatokea
nawasilisha
 
Nimemuuliza rafiki yangu aliyefanya kazi na Kapuya pale UD, inaonekana mtu huyu ni tabia yake tangu zamani za kale. Na tena alishafanya machafu kuliko hayo muyaonayo ktk magazeti na hayakulipotiwa.

Uzembe ni pale alipopewa Uwaziri, sijui ni kidgezo gani kilitumika kiumbe huyu kuwa Waziri kwa miaka yote hiyo.[/SIZE]


urafiki, zimwi likujualo aisee
 
Nadhani Ivuga, kilio cha wana ulambo kimesikika, siku si nyingi haki itapatikana, sasa ni kwa njia gani, Mungu atajua, tuendelea kutoa elimu tu
 
Nampongeza sana Slaa kwa kazi inayoifanya,ili uwe kiongozi mzuri huna Budi kuyajua matatizo ya Wananchi wako,Mkulu hajui matatizo ya wananchi wake cause yeyesafari zake si za Vijijini,yeye anasafiri Kama Vasco Dagama,anasafiri Overseas tu.Kaza buti mkubwa,2015 tupo pamoja,tuombe uhai tu.
 
Nadhani Ivuga, kilio cha wana ulambo kimesikika, siku si nyingi haki itapatikana, sasa ni kwa njia gani, Mungu atajua, tuendelea kutoa elimu tu

naomba tusimwachie Mungu aisee , hapa kuna wanasheria na wanasiasa kibao hata kina msekwa wanaingia humu kama ma guest ,inabidi wakalifanyie kazi hili jambo, siasa ni mchezo mchafu sana leo hii unatembezwa na mavin'gora kesho umepigwa ppingu , hii nchi sio ya mtu mmoja ,angalia sasa ivi mubaraka na familia yake wote wapo chini ya ulizi na walikaa madarakani kwa zaidi ya miaka 20 walikuwa wanajua hili? so kina mseka mnaokuja hapa JF kama maguest tunaomba sana mfuattilie hii kitu ili wananchi wale wasiendelee kuteseka la sivyo kitawaka
 
Back
Top Bottom