soma hapa hili lina ukweli wowote?

Mwanza ni moja kati ya Injini ya nchi , hivyo haiwezi kujitenga kama unavyodhani, nasisitiza: Wazo lako ni zuri lakini haiwezekani!
 
Sio population ya mkoa wa mwanza tu bali idadi ya watu ya mikoa mingi tu ya hapa tz bara inaipiku "nchi" ya zanzibar. Pamoja na hayo kigezo cha idadi ya watu hakina uzito wowote wa kufanya mkoa fulani kuwa nchi.
 

Kuna vigezo lukuki vya sehemu fulani kuitwa nchi not only population,nadhan unapromote regionalism.Kam ni hivyo hata cairo ingekuwa nchi...anyway ni mtazamo wako.
 
zanzibar ni sehemu ndogo-sema kwa sababu ilishakuwa na status ya nchi itabidi iendelee nayo-idadi ya watu wa mwanza kuwa wengi-ndo iwe nchi kwa ku-compare na zanzibar itakuwa ni makosa-maana kuna mikoa mingi ya bara ina idadi kubwa ya watu kuliko zanzibar-ssa nayo ihitaji kuwa nchi?
 
Mkuu,
umetajiwa nchi nyingi na idadi ya raia wake nami nakuongezea hii idadi ya watu wa nchi ya Tonga wapo 104,000 na nchi ya Monaco wapo 32,000 tu...sijui unatumia mtazamo upi kwenye hoja yako, anyway naanza kuona wasiwasi ukiendelea hivyo unaweza kutuijia na hoja kuwa hayo maji yanayozunguka hapo mwanza ni BAHARI, teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…