Mkuu,
umetajiwa nchi nyingi na idadi ya raia wake nami nakuongezea hii idadi ya watu wa nchi ya Tonga wapo 104,000 na nchi ya Monaco wapo 32,000 tu...sijui unatumia mtazamo upi kwenye hoja yako, anyway naanza kuona wasiwasi ukiendelea hivyo unaweza kutuijia na hoja kuwa hayo maji yanayozunguka hapo mwanza ni BAHARI, teh teh teh