Solar energy TANZANIA

Solar energy TANZANIA

Tony Yeyo

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
733
Reaction score
567
Kwanini nchi nyingi Za Africa serikali zake hazi wekezi kwenye umeme wa jua solar energy na badala yake hutegemea umeme wa mabwawa.....watu na makampuni binafsi ndo yame wekeza uko.
 
Umeme wa solar ni gharama sana' vifaa vyake ni bei kubwa.
 
Unataka kujua Kama tunajua au una hoja ya kwamba it's cost effective ku invest kwenye solar power ????



Nakiri sijakuelewa mkuu.
 
Mm nauliza Kwa nini serikali haitaki kuwekeza kwenye sekta iyo
 
Solar garama ni kwa mara ya kwanza tu unapoinunua after that its fine
 
Swala la gharama iyo sio sababu ya msingi
 
Ngoja tuwaulize wazungu kama hilo linawezekana
 
Kwanini nchi nyingi Za Africa serikali zake hazi wekezi kwenye umeme wa jua solar energy na badala yake hutegemea umeme wa mabwawa.....watu na makampuni binafsi ndo yame wekeza uko.

Swali zuri sana. Fikiria tunatumia umeme wa mafuta (machafu) toka uarabuni..., rasilimali ya wenzetu inayoagizwa kwa dolari nyingi ilhali jua linatuunguza ila maarifa ya kulitumia kama chanzo cha nishati ni duni sana. Ni aibu kwa kweli!
 
Sekta ya nishati ndio sehemu ya kupigia hela kwa watawala wengi wa kiafrika sasa wakiweka hayo ma soral panel afu baadae wale wapi
 
Back
Top Bottom