Soko la vitunguu maji kwa 2015

Soko la vitunguu maji kwa 2015

Eddie99

Member
Joined
Jun 25, 2012
Posts
37
Reaction score
22
Habari wana Jamvi,

Najua kuna post zilizopita kuhusu soka la vitunguu maji, lakini baada ya kupitia nimeona the latest ni 2014. Ninaomba kujua kama mtu yeyote anafahamu soko bora la vitunguu kwa mwezi December 2015 iwe ni ndani au nje ya nchi. Vitunguu ni aina ya Hybrid (Jambar F1) vinapatikana mbeya na ni zaidi ya Tani 1.4 ( zaidi ya magunia 140).

Wenye kujua hili naomba msaada.
 
Watafute wakomoro ndy utafanya nao biashara nzuri mkuu
 
Nadhani price inategemea sana demand na supply. Kabla ya kujua price ni vema kwanza kuelewa ni wapi kuna demand kubwa ya bidhaa yako
 
Back
Top Bottom