Wakulima wengi wanalima viazi mviringo kwa sasa mikoa ya Njombe na Mbeya watu wengi wanavuna.. Kwa wanaojua masoko ambayo tunaweza kuuza kwa bei nzur tuwasiliane hapo chini.
Lakini pia kama una mzigo wako tuwasiliane hapo chini tutafute masoko.
Huko kwenu bado mnshona hivyo VISHUNGI UMIZA, huku nilipo ukishona namna hiyo hupiti kwene mageti hata wakulima walishaelimishwa ukienda na staili hiyo yavishungi unakamatwa kwasasa nimwendo wa VISHUNGI MPALAZO tu hata sado haijai
Huko kwenu bado mnshona hivyo VISHUNGI UMIZA, huku nilipo ukishona namna hiyo hupiti kwene mageti hata wakulima walishaelimishwa ukienda na staili hiyo yavishungi unakamatwa kwasasa nimwendo wa VISHUNGI MPALAZO tu hata sado haijai
Huko kwenu bado mnshona hivyo VISHUNGI UMIZA, huku nilipo ukishona namna hiyo hupiti kwene mageti hata wakulima walishaelimishwa ukienda na staili hiyo yavishungi unakamatwa kwasasa nimwendo wa VISHUNGI MPALAZO tu hata sado haijai
LUMBESA (VISHUNGI UMIZA) haikubaliki hasa Mkoa wa Njombe na Mbeya. Miaka miwili kabla ya sasa ilikuwa mnunuzi unatozwa sh 1000 kwa kila gunia ukiweka LUMBESA. Kwa sasa ni marufuku, kwenye Vizuizi vya Mazao hutaruhusiwa kupita na mzigo wenye LUMBESA.
Huko kwenu bado mnshona hivyo VISHUNGI UMIZA, huku nilipo ukishona namna hiyo hupiti kwene mageti hata wakulima walishaelimishwa ukienda na staili hiyo yavishungi unakamatwa kwasasa nimwendo wa VISHUNGI MPALAZO tu hata sado haijai
LUMBESA (VISHUNGI UMIZA) haikubaliki hasa Mkoa wa Njombe na Mbeya. Miaka miwili kabla ya sasa ilikuwa mnunuzi unatozwa sh 1000 kwa kila gunia ukiweka LUMBESA. Kwa sasa ni marufuku, kwenye Vizuizi vya Mazao hutaruhusiwa kupita na mzigo wenye LUMBESA.
Siku hizi hamna tofauti ila miaka 2 iliyopita ilikuwa tofauti. Hii ni kazi mojawapo ninayoweza kumsifia Waziri wa Kilimo Ndugu Bashe ameisimamia ipasavyo. Ingawa kwenye mbolea ya ruzuku amefeli, Mawakala wanachanganya mbolea na udongo au uchafu mwingine matokeo ni kupata viazi kidogo na hafifu.