Mbegu zake zina mafuta sana, unaweza test mwenyewe ukakausha zeni ukazimenya ukaziwasha zinawaka balaa, kulikuwa hadi na Aina fulani ya majiko yanatumia hizo mbegu za mibono nayo sijui yaliishia wapi,
Inaelezwa hii mibono ilitumiwa sana na watu wa kale enzi hizo kuwasha moto