Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 10,640
- 15,545
Kibaigwa kilo ni shiling ngapi?Wadau nauliza mahindi ya kibaigwa yanatoka vijiji gani? Kuna mtu alinieleza yanatoka kilindi lkn kijiji hajanitajia nataka kujaribu hiyo biashara mwenye maelezo ya kutosha anieleza tafadhali.
Kibaigwa kilo ni shiling ngapi?
Wiki iliyopita ilikuwa 460, 470, 480Kibaigwa kilo ni shiling ngapi?
Nitaeleza kwa wanaotoa Mkoa wa Morogoro wilaya ya Kilosa,Mkuu elezea na yanakotoka basi, gharama za usafiri na mambo mengine yanayohusu biashara hiyo.
Nitaeleza kwa wanaotoa Mkoa wa Morogoro wilaya ya Kilosa,
Bei ya gunia la debe 7 ni sh. 45,000
Mahindi ya Kilosa ni mazito gunia linato hadi 135kg
Gharama za usafiri huwa ni sh. 5,000 kwa kila gunia
Ushuru ni sh.2,000 kwa kila gunia
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app