Jamani wanajukwaa mwenye kujua soko anijuze tafadhali Kwa mkoa wa mwanzaHabari wanajukwaa,
Kwa mwenye kujua soko la kuku wa nyama mkoani Mwanza anipe connection mimi napatikana Usagara.
Nina broilers 358 wanakaribia kuingia sokoni Bado week Moja tu.
Natanguliza shukrani
Bei gani?Habari wanajukwaa,
Kwa mwenye kujua soko la kuku wa nyama mkoani Mwanza anipe connection mimi napatikana Usagara.
Nina broilers 358 wanakaribia kuingia sokoni Bado week Moja tu.
Natanguliza shukrani