Ukisemq soko un maana gani?
Soko kisasaa sio kulitafuta lilipo, soko ni kutafuta wateja. Hata hapa jamii forum soko lipo, weka picha na bei
Epusha kufanya biashara kijanja eti bei maelewano
Tafuta brand name yako, ili kokote nikiona jin like najua Emma mola huyu.
Uko mkoa gan?