Mandesy
Senior Member
- Mar 22, 2018
- 115
- 125
Katika hali isiyo ya kawaida, soko la hisa la Dar es Salaam limeanza kwa mdororo mkubwa wiki hii. Ripoti zinaonyesha kwamba ni sh40,000 ndizo ziliripotiwa kupatikana leo kutokana na mauzo ya hisa.
Hiki ni kiwango cha chini kabisa kuripotiwa na soko la hisa miaka 21 tangu kuanzishwa kwake. Hatua hii inatokana na kukosekana kwa wawekezaji wa kigeni ambao wanachangia asilimia 80 ya thamani ya umiliki wa hisa na asilimia 80 ya mauzo na mamunuzi ya hisa.
Tutafika tu
Hiki ni kiwango cha chini kabisa kuripotiwa na soko la hisa miaka 21 tangu kuanzishwa kwake. Hatua hii inatokana na kukosekana kwa wawekezaji wa kigeni ambao wanachangia asilimia 80 ya thamani ya umiliki wa hisa na asilimia 80 ya mauzo na mamunuzi ya hisa.
Tutafika tu