Nifuatiliaje mzuri sana wa soko la Hisa la Dar es Salaam.Naona kwa muda awa miaka miwili kumekuwa na kuanguka sana kwa bei nyingi za Hisa ya makampuni yaliyoko kwenye soko.
Sijui haswa ni nini kinasababisha huo mporomoko wa bei, na vile vile kwa wale wanaojua je kuna uwezekano kweli wa bei kupanda.
KWANINI NINI HISA ZINAZIDI KUPOROMOKA BEI ?NINA HISA ZA DCB NATAKA NIZIWEKE SOKONI AU NDIO HASARA?
Na pili kwenye website yao huwa wanaweka ripoti za siku lakini kwa sisi Layman tunatoka kapa yaani hatuewelewi ni kinashoonyeshwa kwenye hizo ripoti,kama kuta wataaluma tusaidieni kusoma hizo ripoti kusaidia kufanya maamuzi
Sijui haswa ni nini kinasababisha huo mporomoko wa bei, na vile vile kwa wale wanaojua je kuna uwezekano kweli wa bei kupanda.
KWANINI NINI HISA ZINAZIDI KUPOROMOKA BEI ?NINA HISA ZA DCB NATAKA NIZIWEKE SOKONI AU NDIO HASARA?
Na pili kwenye website yao huwa wanaweka ripoti za siku lakini kwa sisi Layman tunatoka kapa yaani hatuewelewi ni kinashoonyeshwa kwenye hizo ripoti,kama kuta wataaluma tusaidieni kusoma hizo ripoti kusaidia kufanya maamuzi