okaoni
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 1,471
- 1,308
Poa mkuu nitajaribumkuu si ina panel mbili? Ya advance user na ya begginer jaribu kuchange panel uangalie.
Kama still inakataa jaribu kudownload version nyengine.
Poa mkuu nitajaribumkuu si ina panel mbili? Ya advance user na ya begginer jaribu kuchange panel uangalie.
Kama still inakataa jaribu kudownload version nyengine.
mkuu rahisi zaidi inaitwa wimdows movie maker inafanya vitu vyote basic na inakuja kwenye windows kama hutaikuta nenda website ya microsoft utaipata.
Mimi hapa ninayoipenda inaitwa magix video pro x5 hii ina feature nyingi sana japo si proffesional sana ila ni rahisi kutumia
inavitu kama hivi
-uwezo wa kueka text kwenye video
-kubadilisha sauti ya video kueka yako
-kukata na kuunga vipande vya video
-kuna effect mbali mbali za kueka kwenye video.
Magix ni ya kulipia so itafute torrent
SASA MBONA MOVIE ZA BONGO NI UTUMBO MTUPU.. WAKATI NAONA WATU WANAANGUSHA PROGRAM HUMU NA INAONYESHA WANAZITUMIA.. Au ni kwa ajili ya Kutengenezea Video za Harusi
Ulead,sony vegas,avs studio,pinacle,adobe zote (ae na pro),final cut,cinemax4...hapo nimepanga kufuata urahisi wa kutumia.
mbn mnataja software hizi..sisi tunatumia final cut pro vipi..?Kama unataka kufanya editing ambazo ni simple, unaweza kutumia Windows Movie Maker ambayo huja na Windows.
Pia unaweza ukacheck hii hapa Camtasia video editing ipo poa sana na ni rahisi kuitumia maana sio pro video editor.
mbn mnataja software hizi..sisi tunatumia final cut pro vipi..?
camtasia studio ina features zote za movie maker na zaidi, mie naipenda sababu ni rahisi kuitumia na ina features kibao, tatizo lake ina hitaji mashine yenye specification kubwa ram angalau 2GB, na windows zaidi ya Xp maana inatumia dotnet framework 4.5 ambayo haiwi supported na winxp.
SASA MBONA MOVIE ZA BONGO NI UTUMBO MTUPU.. WAKATI NAONA WATU WANAANGUSHA PROGRAM HUMU NA INAONYESHA WANAZITUMIA.. Au ni kwa ajili ya Kutengenezea Video za Harusi
hahahahahaha..eti iko advanced haya bhana...ni kweli haiko katika windows..mie hizo zingine naona michosho tu..bora hata adobe premier..ila ngoja nizitafute nizione...Hahahah...mkuu Final Cut Pro ipo advanced sana na package yake ni kubwa...Jamaa alikuwa anatafuta software ambayo ni simple na easy to manage kwa kufanya editing zake...Halafu hiyo makitu yako huwa najua inatumika sana kwa Apple Users, sina uhakika kama kuna versions kwa ajili ya Windows
Hahaha eti video za harusi...
Mkuu ili filamu itengenezwe na kuwa na ubora mzuri ina mlolongo wa mambo mengi.
1. Location
2. Script
3. Direction ( Director)
4. Production (Producers)
5. Characters (Actors/Actresses)
6. Story
7. Editing
8. Dubbing
Sasa haya tunataja yapo hicho kipengele namba 7.
umesahau jambo muhimu sana na la kipekee kulivyo vyote hivyo amablo ni 'recording' au shooting! kwani editing na production hutegemea ubora wa kilichorekodiwa vema!
hahahahahaha..eti iko advanced haya bhana...ni kweli haiko katika windows..mie hizo zingine naona michosho tu..bora hata adobe premier..ila ngoja nizitafute nizione...
..hahahahahahaha..kaka hiyo mie naitumia kila siku..hata hapa napo post hii nikupitia i mac huku niki edit kwa final cut pro...ila sio producer mkubwa but soon...nitaiteka EAC...hahahahahaha...hapo kwenye bold..nazitumia sana..Hahaha ipo Advanced kaka, maana hutumiwa na Producers wakubwa hata huko Hollywood na kwingineko.
Jaribu Camtasia, Sony, Adobe Premiere + After Effects etc
..hahahahahahaha..kaka hiyo mie naitumia kila siku..hata hapa napo post hii nikupitia i mac huku niki edit kwa final cut pro...ila sio producer mkubwa but soon...nitaiteka EAC...hahahahahaha...hapo kwenye bold..nazitumia sana..
hahahahahahahaha...hapo kwny bold...nadhani ID yangu umeiona nami naongeza "Innovation"...nakubaliana na wewe kujifunza kwa wengine...Hahaha iko po amkuu, umuhimu ni creativity na kujifunza kutoka kwa wengine...
mkuu rahisi zaidi inaitwa wimdows movie maker inafanya vitu vyote basic na inakuja kwenye windows kama hutaikuta nenda website ya microsoft utaipata.
Mimi hapa ninayoipenda inaitwa magix video pro x5 hii ina feature nyingi sana japo si proffesional sana ila ni rahisi kutumia
inavitu kama hivi
-uwezo wa kueka text kwenye video
-kubadilisha sauti ya video kueka yako
-kukata na kuunga vipande vya video
-kuna effect mbali mbali za kueka kwenye video.
Magix ni ya kulipia so itafute torrent
Kumbe kaka nawe ni mdau wa hiyo bidhaa...huwa naipenda sana haswa kwenye kutengeneza documentaries za Still Images, inazifanya ziwe so interactive
Hahaha eti video za harusi...
Mkuu ili filamu itengenezwe na kuwa na ubora mzuri ina mlolongo wa mambo mengi.
1. Location
2. Script
3. Direction ( Director)
4. Production (Producers)
5. Characters (Actors/Actresses)
6. Story
7. Editing
8. Dubbing
9. Recording
Sasa haya tunataja yapo hicho kipengele namba 7.
Ok.. Ingawa naona Movie kali kama superman/Matrix/clash of Titan/Wrath of Titans na 300 Spartan wametumia Green screen za kutosha then wakaingia Editing