The Great Architec
Member
- Aug 19, 2012
- 86
- 18
Habari zenu humu mimi beginner kwenye field hii ya software engineering ninaomba msaada kwa wale senior/experienced software developers..
Ninapata taabu sana kwenye swala zima la ku-initiate project lets say nina idea ya kitu flani nashindwa kujua niazie wapi (assuming ninajua language X)....
Jee kwa wale ambao wana ujuzi kwa hii field unapopata project unaanzaje nikimaanisha
1. unatumia mbinu gani
2.unadesign vipi software yako
3. una intergrate vipi module zako
4. how do you know what suppose to do what and when
5. jinsi function zako zinavyo wasiliana
6. how do you model your whole software
7. unatumia vipi UML(or any other modeling technique).
Ikiwezekana nipe A-Z jinsi ya kudesign the whole software from scratch tukianzia kwenye functional requirement, use case and so forth until you reach your goal....
Thanks in Advance
Ninapata taabu sana kwenye swala zima la ku-initiate project lets say nina idea ya kitu flani nashindwa kujua niazie wapi (assuming ninajua language X)....
Jee kwa wale ambao wana ujuzi kwa hii field unapopata project unaanzaje nikimaanisha
1. unatumia mbinu gani
2.unadesign vipi software yako
3. una intergrate vipi module zako
4. how do you know what suppose to do what and when
5. jinsi function zako zinavyo wasiliana
6. how do you model your whole software
7. unatumia vipi UML(or any other modeling technique).
Ikiwezekana nipe A-Z jinsi ya kudesign the whole software from scratch tukianzia kwenye functional requirement, use case and so forth until you reach your goal....
Thanks in Advance