Sofa zinauzwa

Sofa zinauzwa

Mrs Bishanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
1,002
Reaction score
2,292
Sofa za Kisasa na imara zilizopo katika hali nzuri zinauzwa. Ni za watu wawili kila moja. Zipo tatu. Huna haja ya kubadilisha kitambaa. Bei kwa kila moja ni 280,000 maongezi yapo kidogo. Zipo kimara mwisho dar es salaam. Wahi kabla hujawahiwa. Kwa mawasiliano piga 0718585346.
IMG-20181102-WA0002.jpeg
 
Edit tangazo na ongeza mahala / eneo biashara iliko. Mfano kuna mdau hapa Nachingwea anaulizia.
 
Sofa za Kisasa na imara zilizopo katika hali nzuri zinauzwa. Ni za watu wawili kila moja. Zipo tatu. Huna haja ya kubadilisha kitambaa. Bei kwa kila moja ni 280,000 maongezi yapo kidogo. Zipo kimara mwisho dar es salaam. Wahi kabla hujawahiwa. Kwa mawasiliano piga 0718585346.View attachment 918750
Unaonaje uweke items zote tatu mnunuaji achague colour? Pia,hizo sofa zimekaliwa kwa muda gani...
Je,kuna free delivery kwa umbali usiozidi Kilomita ngapi!!

Jibu,tuone kama tutafika bei
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom