Sofa coach zinauzwa

Sofa coach zinauzwa

Ayster

Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
42
Reaction score
8
Habari

1. Sofa hizi nimezitumia mimi mwenyewe
2. Ni set ya watu 3 (3 seaters), watu 2 (2 seaters) na mtu 1 (one seater)
3. Sofa zipo sinza, Dar es Salaam.
4. bei ni sh. 500,000/-

Mwenye kuhitaji ani PM

Karibu
 

Attachments

  • IMG-20150110-WA0002.jpg
    IMG-20150110-WA0002.jpg
    113.1 KB · Views: 1,072
  • IMG-20150110-WA0003.jpg
    IMG-20150110-WA0003.jpg
    98.4 KB · Views: 1,036
bei sio mbaya, bahati mbaya umechelewa kuweka tangazo last week nimenunua za laki 8,
 
Habari

1. Sofa hizi nimezitumia mimi mwenyewe
2. Ni set ya watu 3 (3 seaters), watu 2 (2 seaters) na mtu 1 (one seater)
3. Sofa zipo sinza, Dar es Salaam.
4. bei ni sh. 500,000/-

Mwenye kuhitaji ani PM

Karibu

ni material gani imezitengeneza kama leather aina gani?
 
Back
Top Bottom