Soda ya Coca ilivyo hatari kwa afya

tatanyengo

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
1,134
280
Kwa mujibu wa shirika la habari la BBC, kinywaji aina ya Coca kinasemekana kuwa na madhara kama vile usahaulifu,maradhi ya ngozi na neva za mwili. Madhara hayo husababishwa na kemikali iitwayo Brominated Vegetable Oil (BVO). BVO huwekwa kwenye soda hiyo ili kuzuia viungo vingine visiachane.
 
Kunyweni ulanzi hauna madhara. Ngoja nikutajie sifa moja ya ulanzi. Ni kila aina ya mdudu,mnyama wanakunywa hicho kitu.
 
Kunywa pepsi. BVO ilitolewa mwaka jana. Coca ndio ameondoa mwezi huu huko marekani. Ndio maana ma cancer mpaka za kucha...kha

Sent from Samsung Note III using Tapatalk
 
Back
Top Bottom