nimeogopa koz wamewatreat kama terrorist yani na majibwa kibao yani full ugwadu na mijibwa ilikua inaingia kila room kucheck ni ni mikubwa saizi ya ndama iyo ndio iliyonitisha mm mana mm muoga hata wa kinyongaUnaogopa nini sasa kwani na wewe unauza madawa sasa unajiuliza zikifika 40 zako itakuwaje? Hebu jenga hoja hofu yako inatoka wapi?
Sema tu ndiyo mara yako ya kwanza kukutana na hali kama hiyo lakini mimi naona all in all wana derseve kukamatwa kama mbwa vile, halafu watu wanao deal na drugs wana mtandao mkubwa sana hivyo hata ukamataji wake inabidi polisi ijipange ili kukabiliana na chochote kinachoweza kutokea.nimeogopa koz wamewatreat kama terrorist yani na majibwa kibao yani full ugwadu na mijibwa ilikua inaingia kila room kucheck ni ni mikubwa saizi ya ndama iyo ndio iliyonitisha mm mana mm muoga hata wa kinyonga
Duuuuh nilikuwa sijui kuwa kumbe ukiwa mshikaji na polisi basi wana mademu zao ambao wanaweza kukutafafutia na wasiweze kukataa! Mbona raha kama unaupenda ufisi maji basi ni kuwa karibu na askari polisi.Ingekuwa bongo hao ndo wangekuwa washikaji wa polisi wa kuwatafutia mademu.
sorry taking it personal.... why sympathise with drug dealers?yani hapaaa naandika ndio kama dk 45 zimepita toka kasheshe la mhaiti mmoja na mnigeria kukamatwa na mapolisi bada ya kukamatwa na bangi na madawa ya kulevia ktk room wanayolala ambayo iko ktk flour yangu mm ninakoishi loh! wanaenda kula 14 years bila pingamizi yani na mmoja alibakiza miezi 9 achukue master yake asepe loh! yani mlangoni kwao waliandika dont mess with mother cobra lkn cku zote tunajua ni maneno tuu mana hata cc mlangoni kwetu tumeandika slogan yetu kumbe loh!
View attachment 39700
She is not there bro......Nadhani yupo Colombia
yes uko sawa kabisaSema tu ndiyo mara yako ya kwanza kukutana na hali kama hiyo lakini mimi naona all in all wana derseve kukamatwa kama mbwa vile, halafu watu wanao deal na drugs wana mtandao mkubwa sana hivyo hata ukamataji wake inabidi polisi ijipange ili kukabiliana na chochote kinachoweza kutokea.
sio za huku mwanangu unaozea jela walah hata serikali ya tz ikiingilia walah hutoki
unataka kumfuatahuko wapi?