Kama ni kumchakachua RA au yule mhindi wa HEWATEL poa, lakini kama unatumia TiGo, Zantel potezeya kaka siyo fea!
Nakumbuka zamani tulikkuwa tunatumia center namba za kampuni flani ya india teh teh! irrrikuwa bureeee bureeee, tulikuwa hatuna pesa sku hizo bana, kwani wewe unakosa sh50 ya meseji sa hivi bana? Au ndy uko chuoni ful kuchati na wachumba30 mpaka unawachanganya majina inakuwa UGONVI! tehe teh!!