Smartphone nzuri

Youngstunna

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2016
Posts
286
Reaction score
322
Ipi simu nzuri yenye bei kuanzia laki tatu na nusu had nne?
 
Kijana cku iz ma smartphone ni utitiri tu... Kama vp cheki tecno n8-199000/= tecno j8-360000/= samsung j2, . ni ww tu.. N8,j8 ni LTE
 
Angalizo. Sikushauri ununue simu za tecno.
Ni vimeo jalibu blands zingine
 
Njoo nikuuzie samsung Galaxy J3 2016. 300 tu. Used one week. Unapata kila kitu full box
 
achana na tecno izo...chukua s4 mini i9195 LTE uinjoi maisha..nyepese kiuzito na ni 4.3" screen..ram ya kutosha 1.5gb..ukitaka uinjoi zaidi kusanya 25 uchukue 6500mAh battery from ebay...utakua waichaji s4 mini yako kila baada ya siku 4...
 
cha zaidi...ukiipata unairoot unaondoa bloats zote..simu yazidi kua nyepesi aisee yaani out of 1.5gb ram unakua unachezea 450mb per normal usage
 
achana na tecno izo...chukua s4 mini i9195 LTE uinjoi maisha..nyepese kiuzito na ni 4.3" screen..ram ya kutosha 1.5gb..ukitaka uinjoi zaidi kusanya 25 uchukue 6500mAh battery from ebay...utakua waichaji s4 mini yako kila baada ya siku 4...
25 hela au?
 
achana na tecno izo...chukua s4 mini i9195 LTE uinjoi maisha..nyepese kiuzito na ni 4.3" screen..ram ya kutosha 1.5gb..ukitaka uinjoi zaidi kusanya 25 uchukue 6500mAh battery from ebay...utakua waichaji s4 mini yako kila baada ya siku 4...
Ahsante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…