Aisee nimependa commwnt yako. Sasa hivi tunafukua love connectHuu Uzi unaonyesha Ukweli Kuwa Ukimchukuwa Mhenga humu JF Usijishaue kwa kujifanya Umechukuwa malaika kwa Kutag tag kila comment yako.. Sasa aibu inawakuta hata siyo aliyefaidi zaidi ni nani au wote wameliwa na kuacha kama ilivyo Custom and Taboos za JF
Nipo ujue
Habari ninayo mbona
NjooLipi tena hilo mase nikuje kwako
Msubiri mwenye kuandika notice amalize akupe hiyo habari.. Chedhea abroadMuhusika ni naniiii
namjua mpk kwakeSijui nani huyu
Muhusika ni naniiii
Nikajua umeyeyaNipo ujue
aww, nakupenda pia- Mark 12:31Nakupenda ujue
Nakuja mpenziNjoo
hahaha hakuna asiye na historia nyuma, hao waliofukua kaburi la mwingine fatilia ujue mambo yaoHuu Uzi unaonyesha Ukweli Kuwa Ukimchukuwa Mhenga humu JF Usijishaue kwa kujifanya Umechukuwa malaika kwa Kutag tag kila comment yako.. Sasa aibu inawakuta hata siyo aliyefaidi zaidi ni nani au wote wameliwa na kuacha kama ilivyo Custom and Taboos za JF
Ahhaha muandika notice simsomi ujue yupo online hizo notice sijui anaandika vipiMsubiri mwenye kuandika notice amalize akupe hiyo habari.. Chedhea abroad
Nashindwa kumuelewa muandika noticeAhhaha muandika notice simsomi ujue yupo online hizo notice sijui anaandika vipi
Aisee na huyu Ilishakuwa Chali tena JF Customs and Tabooshahaha hakuna asiye na historia nyuma, hao waliofukua kaburi la mwingine fatilia ujue mambo yao
mtu asijishebedue wakipendana jamani,acheni watu waji cc hawatupunguzii kitu ni uwivu ni nini kinachosumbua? personal life za watu kusimamiwa kucha
life is too short chaaa, mimi ningekuwa mahondaw ku cc nisingeacha nikiachika si basi kwani atadaiwa?
Kuna Mwingine kaamua kumuokota huyo kijana sasa yanayoendelea Mungu atashuka Muda si Mrefu.. Kiukweli JF hata Bongo Movie ni cha Mtoto yaani bora Hili Jukwa la MMU liwe upgraded kwa Kudahili Electonical Bongo Movie.
Ila Nitakuja na Thread ya Kuelezea Madhara ya Mahusiano ya JF yanaumiza sana kwa sisi tunaona Mtaani.....
We have to rectify these madhara yake yanawangukia Watoto
Muandika notice nipo nae pm ananipa habar ujueNashindwa kumuelewa muandika notice
mmh sidhani hawajaachana, wapo pamoja badoAisee na huyu Ilishakuwa Chali tena JF Customs and Taboos
Niambieesakayo ukuje