Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
nshaanza kuelewaaaNyie mnataka nisutwe mchana huu mi naogopa buana

Baba mwenyewe jamaan usinichoshe bonnyCrees que es sambaa?
![]()
![]()
, mambo yote kwa Yesu
Sisi ndo hatuogopi eehSio hivyo sweetie mwenzio naogopa ban kweli
Geniiiiiiiiiii ninyapishie basiii nanyapia nyapia sielewi
shaurilooo
Nitakunyaa.
Umesahau fani yake yule naniliiiu wa sakayo?
Drama. Uongo kama ukweli. Si unajua anajishughulisha na nini mjini? Sasa hiyo fani yake kai apply kwenye huo uhusiano.
Shost hatari
Kumbee na huyu bonny sio mzungu kweliiNi wabongo walokariri lugha ya watu
yupi?wa pale kwenye mishkakii?!!!ujue inamuhusu yule wa juzi
Mwenyewese bendecido
Ha ha ha haBaba mwenyewe jamaan usinichoshe bonny
Sisi anaona sio binadamu labdaSisi ndo hatuogopi eeh

Ha ha ha ha mnatamaan mngejua wenyeweKumbee na huyu bonny sio mzungu kwelii
Ebu tuambie na sisi kizuri kula na nduguzo geni
akiuu..ukitaka mkataze bonyy...!!!kiyunani chakeHahahaDia ongea tu na bonny wako ndio mnaelewana hapo unanivuruga kabisa acha niendelee na watanzania wenzangu
Umeonaeemmmmh. Hii timu hapana sio ya kuiamini
![]()
Kwa mishkaki yule mdada banayupi?wa pale kwenye mishkakii?!!!