Smart watch zipo sokoni kwa bei poa

Smart watch zipo sokoni kwa bei poa

William Ngotti

Senior Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
187
Reaction score
48
Ni zile saa za kijanja zinapatikana kwa bei poa kabisa
dea40af5efaec3e6186c4f116c199883.jpg
ccd696567f2c538fb011e89a7195ee36.jpg
46011eeda7ab22f21f8761315d6c0d40.jpg
93bce186bf7d53d56b380e71d7ab7877.jpg
bec70d25c7b0c97396ef11956564ccd1.jpg
d52800606fc22efd122f4e24068e7995.jpg
53de9b82646d6703a1ff5ca5b9d9729b.jpg
569dbdfc88f5efe557522a3da5a0f0aa.jpg
7ef1e726c01d00c025399b24f78d340d.jpg
9d4b3b717c7680423fbf481e7a2c1693.jpg
e1646bf97d07cfcd419ec6b991949c29.jpg
6a77536b6a00f9f703317790cba0375d.jpg
5877590a724cf947c34f2288557be49a.jpg
93796a4840590928390d6b6cb000f12b.jpg
96e6c6153a4e5ae53e8be7f0e40bdf03.jpg
74d8a9f9e1550a94c60b612ed6eba850.jpg
d1c688fc9d270dc7ac30c358e3525d76.jpg
0c810cc1d83d579bbb75e931e84c4c4a.jpg
 
Duniani kuna mambo. Saa tu laki 4,wengine tunahangaika hata kwa mwaka hiyo laki 4 ni issue. Ngoja mengine tuwe tunayasikia tu redioni na kuona kwenye tv.
 
mkuu tuweekee video tuone zinavofanya kazi kwa ushawish zaid
NB.n ombi langu tu......
 
Jamani muuzaji ndio anajua gharama alizotumia hadi kufika dukani, na faida kiasi gani apate. Sasa mkianza kukandia bei kubwa kwa nini usinunue mwenyewe huko kwenye eBay au Alibaba au Amazon? Mbona tunakuwa watu wa kukatishana tamaa. Kama una uhitaji nunua la huna kaa kimya kwani umelazimishwa kununua? BTW sio kila kitu lazima kila mtu awe nacho, vingine wawachieni wenye uhitaji na fedha zao wanunue
 
Biashara ni kupata faida. ..so kama wewe unajua pa kuzipata kwa bei chee. ..wewe sio mteja aliyekusudiwa.

Mbona kuna unavyonunua wenzio wanapewa bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom