Skyline tech

skyline tech

Member
Apr 9, 2021
37
64
Habari wadau wa jamii forums leo nimejiunga rasmi naomba mnipoke

Nafanya kazi za graphics design, natengeneza computer laptop natengeneza logo, calender, poster za mitandaoni, busines card, card za harusi, n.k
Kwa mawasiliano 0687085290
 
Bro karibu sana. Umejitambulisha vyema kuwa we ni fundi. Samahan kaka, unaweza kunisaidia hili. TV yangu aina ya Singsung ilikuwa sawa tu nikawa nimepata nyingine nikaacha kuitumia kwa takriban miez 2. Nilipoichukua juzi nataka kuitumia inagoma kuwaka. Ilijitahidi tu ikawaka kwa dakika 8 tu then ikazima. Inaweza kuwa na tatizo gani? Msaada plz!!!
Thanks jn Advance.
 
Bro karibu sana. Umejitambulisha vyema kuwa we ni fundi. Samahan kaka, unaweza kunisaidia hili. TV yangu aina ya Singsung ilikuwa sawa tu nikawa nimepata nyingine nikaacha kuitumia kwa takriban miez 2. Nilipoichukua juzi nataka kuitumia inagoma kuwaka. Ilijitahidi tu ikawaka kwa dakika 8 tu then ikazima. Inaweza kuwa na tatizo gani? Msaada plz!!!
Thanks jn Advance.
Fundi wa laptop hawezi kuwa fundi wa TV
 
Bro karibu sana. Umejitambulisha vyema kuwa we ni fundi. Samahan kaka, unaweza kunisaidia hili. TV yangu aina ya Singsung ilikuwa sawa tu nikawa nimepata nyingine nikaacha kuitumia kwa takriban miez 2. Nilipoichukua juzi nataka kuitumia inagoma kuwaka. Ilijitahidi tu ikawaka kwa dakika 8 tu then ikazima. Inaweza kuwa na tatizo gani? Msaada plz!!!
Thanks jn Advance.
Sorry system ya Tv haiko sawa na ya laptop zinatofautia kiongozi hapo nasikitika kuwa siwezi kukusaidia kwa hilo
 
Back
Top Bottom