momara
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 463
- 491
Napigiwa simu naulizwa Kwanini sijaajiriwa.
Mbona Mwenzako hapa amepata we hujapata.
Ndugu zangu wananiona mzembe kwa kukosa ajira. Wanaamini kuna sehemu nakosea, wanaamini mimi mjuaji kila wakiniuliza kuhusu ajira natoa maelezo mengi wakati wenzangu wanaajiriwa.
Wananiambia nimeganda mjini kwenye wasomi wengi na ndomana sijaajiriwa wakati mwenzangu aliepata kaomba ajira akiwa kijijini.
Sichukii mwenzangu kuajiriwa ila amefanya niulizwa maswali ambayo binafsi yananifanya nijiskie vibaya.
Nimepata mawazo sana wakati jambo hili binafsi nlishalimaliza tangu zamani na nimesimama mwenyewe na tayari najitegemea.
Imefika muda siumii kukosa ajira ila napata stress kutoka kwa wanaosubiri niajiriwe.
Mtu ambaye hajaenda hata shule ya upili anakufundisha kuhusu ajira na usipofuata au kutekeleza yeye anaona ndo sababu ya wewe kukosa ajira.
Nashindwa hata kuandika. Kwaherini
Mbona Mwenzako hapa amepata we hujapata.
Ndugu zangu wananiona mzembe kwa kukosa ajira. Wanaamini kuna sehemu nakosea, wanaamini mimi mjuaji kila wakiniuliza kuhusu ajira natoa maelezo mengi wakati wenzangu wanaajiriwa.
Wananiambia nimeganda mjini kwenye wasomi wengi na ndomana sijaajiriwa wakati mwenzangu aliepata kaomba ajira akiwa kijijini.
Sichukii mwenzangu kuajiriwa ila amefanya niulizwa maswali ambayo binafsi yananifanya nijiskie vibaya.
Nimepata mawazo sana wakati jambo hili binafsi nlishalimaliza tangu zamani na nimesimama mwenyewe na tayari najitegemea.
Imefika muda siumii kukosa ajira ila napata stress kutoka kwa wanaosubiri niajiriwe.
Mtu ambaye hajaenda hata shule ya upili anakufundisha kuhusu ajira na usipofuata au kutekeleza yeye anaona ndo sababu ya wewe kukosa ajira.
Nashindwa hata kuandika. Kwaherini