Sitta kama Obama

Sitta kama Obama

Crimea

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
26,634
Reaction score
38,245
Mpaka sasa nina hakika ukimuuliza Mwafrika yeyote kama amepata faida gani kwa uwepo wa rais Mwafrika huko Marekani atasema hakuna!

Nakumbuka kipindi Obama anaingia madarakani Waafrika wengi hasa ndugu zetu Wakenya, walifurahi sana, wakiamini kwamba sasa neema tele zitawafikia kutoka kwa Obama kutona na Ukenya/Uafrika wake.

Lakini sasa kiko wapi? Obama karibu anaondoka madarakani lakini hata ziara tu hajafanya huko Kenya. Kwa wenye akili walijua tu kwamba anaeongoza Marekani sio Obama peke yake, bali kuna na watu wengi ambao pia wanamcontrol hata Obama mwenyewe!

Hali hii na ifananisha na hapa kwetu, alipochaguliwa mzee Sitta kuwa mwenyekiti wa bunge la katiba, watu wengi walishangilia sana wakisema sasa bunge maalumu limepata dereva sahihi! Lakini sasa kiko wapi?

Kwa wenye akili walijua tu kwamba Sitta atapaswa kuongoza bunge kutokana na matakwa ya wenye chama!! Na hivyo siyo Sitta tu anaeongoza bunge, bali kuna na wengine pia ambao wana m-contol hata yeye mwenyewe!

Hili lilikuwa bunge la kung'oa, kuharibu, kuvunjavunja na kuchoma mifumo dharimu ya kiutawala, na maadamu Sitta ni miongoni mwao hangeweza katu kujikaanga mwenyewe na chama lake!

Sasa matumaini tena hakuna watanzania tungojee mtu sahihi atakae kuja na nia ya dhati ya kutupatia katiba, CCM wameshindwa!
 
Tofauti ni ndogo,Obama na wanaomcontrol ni wazalendo wa nchi ilhali Sitta na wanao mcontrol ni wahujumu wa nchi yao
 
Tena nawashauri wasisumbuke hata kuileta kwa wananchi et tuipigie kura KITU malizeni hukohuko bungeni.mkileta kwa wananch ili ipigiwe kura mnajisumbua.HATUJITOKEZI,HATUTAPIGA YA KATIBA,na wananchi tusiende kupiga,tumewasusia iyo yenu na watoto wenu
 
Last edited by a moderator:
Ulevi wa madaraka ni mbaya sana na hasa kama una amini wewe una hati miliki ya nchi kama Tanzania
 
maf.ala kama nyie ndo mliotarajia obama awatumikie nyie kisa ngozi yenu halafu awaache wa amerika waliomchagua.

Mpaka sasa nina hakika ukimuuliza Mwafrika yeyote kama amepata faida gani kwa uwepo wa rais Mwafrika huko Marekani atasema hakuna!

Nakumbuka kipindi Obama anaingia madarakani Waafrika wengi hasa ndugu zetu Wakenya, walifurahi sana, wakiamini kwamba sasa neema tele zitawafikia kutoka kwa Obama kutona na Ukenya/Uafrika wake.

Lakini sasa kiko wapi? Obama karibu anaondoka madarakani lakini hata ziara tu hajafanya huko Kenya. Kwa wenye akili walijua tu kwamba anaeongoza Marekani sio Obama peke yake, bali kuna na watu wengi ambao pia wanamcontrol hata Obama mwenyewe!

Hali hii na ifananisha na hapa kwetu, alipochaguliwa mzee Sitta kuwa mwenyekiti wa bunge la katiba, watu wengi walishangilia sana wakisema sasa bunge maalumu limepata dereva sahihi! Lakini sasa kiko wapi?

Kwa wenye akili walijua tu kwamba Sitta atapaswa kuongoza bunge kutokana na matakwa ya wenye chama!! Na hivyo siyo Sitta tu anaeongoza bunge, bali kuna na wengine pia ambao wana m-contol hata yeye mwenyewe!

Hili lilikuwa bunge la kung'oa, kuharibu, kuvunjavunja na kuchoma mifumo dharimu ya kiutawala, na maadamu Sitta ni miongoni mwao hangeweza katu kujikaanga mwenyewe na chama lake!

Sasa matumaini tena hakuna watanzania tungojee mtu sahihi atakae kuja na nia ya dhati ya kutupatia katiba, CCM wameshindwa!
 
Sitta hivi tokea enzi za Nyerere mpaka leo haujaweka akiba tu ya maisha unataka ufiemo kwenye ufisadi Wa nchi hii toka mwaka 1960-2014

Ubunge/uwaziri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom