Sitta electronics Dar es salaam 0766 10 27 10.
- Tuna repair vifaa vya muziki makanisani, ukumbini nk vifaa kama keyboard, spika, subwoofer, gitaa, tv, madish aina zote, booster, amplify nk
- Tunaunda subwoofer znazoweza tumika kwenye bajaji, gari, nyumbani kulingana na uwezo wowote unaouhitaji na tunakupa na warant.
- Kama una vifaa au vyombo vya muziki vinakusumbua tupigie tunakuja mpaka ulipo na kufanya matengenezo.
- Tunafunga vyombo vya muziki aina zote.
- Tunapatikana goba dsm.
- Tunafunga umeme wa sola n kufanya matengenezo yote ya vifaa vya solar.