Sitta atakuwa tayari kumkapenia Lowassa?

Sitta atakuwa tayari kumkapenia Lowassa?

Sir R

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2009
Posts
2,175
Reaction score
300
Kuna kila dalili kuwa Lowassa atakuwa mgombea wa urais kupitia CCM 2015.

Ikitokea hivyo, je Sitta atakuwa tayari kushiriki kampeni ya Lowassa ? Maana naona anachuki isiyo ya kawaida kwa
Lowassa. Ningetamani walio karibu na sitta watupe machache kuhusu mtazamo wa Sitta juu Urais wa Lowassa.

Waandishi wa habari naomba mkamulize Sitta kama atakuwa tayari kushiriki kampeni ya Lowassa kama chama kitampitisha.

Karibuni
 
Mkuu wala Lowassa haitaji kampeni yoyote kwanza ya nini wakati ni kama anasubiri tu kuapishwa,tembelea mitaani ndo utajua ni kwajinsi gani watanzania wanamsubiri kama masihi.
 
Sawa hayati shehe Yahaya! Hana haitaji kampeni, unawajua wapiga kura wa mikoa yote kuwa wanampenda na kumwamini? Au unadhani na hapa JF ndo watakao mfanya ashinde!

Mkuu wala Lowassa haitaji kampeni yoyote kwanza ya nini wakati ni kama anasubiri tu kuapishwa,tembelea mitaani ndo utajua ni kwajinsi gani watanzania wanamsubiri kama masihi.
 
Kuna kila dalili kuwa Lowassa atakuwa mgombea wa urais kupitia CCM 2015.

Ikitokea hivyo, je Sitta atakuwa tayari kushiriki kampeni ya Lowassa ? Maana naona anachuki isiyo ya kawaida kwa
Lowassa. Ningetamani walio karibu na sitta watupe machache kuhusu mtazamo wa Sitta juu Urais wa Lowassa.

Waandishi wa habari naomba mkamulize Sitta kama atakuwa tayari kushiriki kampeni ya Lowassa kama chama kitampitisha.

Karibuni

Safari hatoikachaCCJ!!!
 
Kwani JF ni mkoa?we umejulia wapi haobunaowasema,mi naongea facts coz nimezunguka karibia nchi nzima sa kama wewe unapingana na ukweli siwezi kukukatalia ila uzuri unafahamu na kutambua kwamba EL ni namba nyingine.
 
Jamani Lowassa ndie mtu anayefaa pekee mbona hatusikii wengine? Au wanasoma upepo
 
Mkuu wala Lowassa haitaji kampeni yoyote kwanza ya nini wakati ni kama anasubiri tu kuapishwa,tembelea mitaani ndo utajua ni kwajinsi gani watanzania wanamsubiri kama masihi.

Ni hiyo siku mtakapolia na kusaga meno kwa matokeo ya ajabu. Hapo ndio utakapojua kuwa kumbe watanzania sio mbumbumbu. Watakula pesa ya Lowassa na kura asipewe. Jitokeze baada ya matokeo ya uchanguzi hapo mwezi november 2015
 
Mtaelewa 2 hapo 2015 siwasiki akina membe na makamba 2015 utajua hakuna boya tena tanzania EL gawa bodaboda huna jpya lowassa hatudanganyiki saivi 2napokea ikiwezekana tuna vaa manguo ya kijani then kura hupat
 
Lazima ashinde.kama auhamini subili.jamaa anamisuli mpaka bushi kabisa
 
Unajua mimi kamaa nampa credit kwa kua na mahamuzi binafsi na kuyasimamia.issue sio kashifa mimi nilishasahau by the way nani malaika awe na access na asipige alfu mengi yako chini ya kapeti .potelea mbali mimi nitampa kula.ila nel kama unafikili umbadala wake mwenye ijazo wake niambie
 
Luwasa katuibia pesa zetu za Richmond katuingiza kwenye madeni Tanesco inayumba yye ndie sababu umeme umapanda sorce yy the apewe Uraisi no way
 
JAMANI KWENDENI ZENU NA LOWASA WENU, HUYU ALIISHA LAANIWA NA BABA WA TAIFA,HE ONLY DEPEND BECAUSE KIKWETE IS VERY impetuous, HE WANT TO SEIZE THE OPPORTUNITY OF YHAT OTHER WISE SHUGURI YAKE IMEKWISHA
 
Lowassa hana jipya hana tofauti na gari la mkaa wanaompenda ni wale ambao ni narrow minded
 
Miongo mwa vigogo muhimu CCM
Alikuwa muhimu alipokuwa spika, akautumia vibaya uspika wake kukomolea watu akapigwa chini!. Yeye na Mwakyembe wamepewa uwaziri just to contain them in a spirit ya "keep your friends close, your enemies closer!".
Pasco.
 
Alikuwa muhimu alipokuwa spika, akautumia vibaya uspika wake kukomolea watu akapigwa chini!. Yeye na Mwakyembe wamepewa uwaziri just to contain them in a spirit ya "keep your friends close, your enemies closer!".
Pasco.

kicheko tupu
 
Back
Top Bottom